Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Na wamechangia sana ”nyuchi ” mbovumbovu wazinzi wakubwa hawa,
 
Hiyo jamhuri ya uzebsetan inakoelekea sio kuzuri.

Njia ni mbaya sana tena hata kama wana justification hapana asee.

Mungu hadhihakiwi, ushuke roho mtakatifu utafunulie kila palipojificha.
 
Kifo ni kifo tu hakuna mwenye kutegua hicho kitendawili..sisi ndio tunajaribu kuunganisha dots ..wewe binafsi angalia katika maisha yako umeondokewa na watu wa karibu yako wangapi...seif sharif na huyu fr privatus Kalugendo na wenyewe ni wa karibu na hayati?tuwe waangalifu aisee
 
vifo viko tofauti. Kuna watu wanakufa na kupitiliza moja kwa moja jehanamu. Acha wakavune walichopanda. Hili ni somo kawamba bjnadamu tunapita. Wajifunze unyenyekevu.
 
Mkuu uwe na amani tu.
Katika ya hao wote hakuna aliyeondoka kwa corona.
 
Tunakumbushana tu mtoa mada na wadau wengine tuendelee kuchukua tahadhar ktk kila jambo hakuna anaejua hatma yake
 

Daraja lingine liitwe Covid
 
Na waondoke tu kwa maana Watanzania wengi wameteseka kwa manufaa yao binafsi!
 
Baada ya miaka 10 kuanzia sasa, panapo majaliwa yote yaliyomo sirini yatawekwa bayana...Hii aina mpya ya WMD itatumika sana.
 
Aisee mi nahisi ni hivi,

Aliyemweka madarakani J ndiye anayefanya hii kazi, hii kazi inafanyika kwa haraka haraka kwa sababu watu wa karibu na J kuna mambo ambayo wanayafahamu kwaiyo wanaondelewa ili kuficha ukweli ambao siku moja ungesemwa.

Kifo cha J kina mauzauza nyuma yake na kuna watu wanafahamu ila Hawapo kwenye kundi lile, hawa wote siku zao ziko mikononi mwa watu.
 
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Hakuna kitu kibaya zaidi maishani kwa mtu yeyote kuwa na "ujinga na uoga" kwa pamoja kwa wakati mmoja.

Unaweza kuongeza na sifa ya 'kiburi' ukitaka.

Hakuna njama yoyote, dhidi ya hao isipokuwa hayo matatu tu basi.
 
Wewe naona unawazak kama mimi yaani una hisia zinazofanana na zangu kuhusu hivi vifo kwa namna fulani.

All in all, inawezekana kuna mission inaendelea kutekelezwa ila kwa akili kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…