Hawa waumini wana imani kali sana

Hawa waumini wana imani kali sana

Kama hawavunji sheria za nchi wanaachwa tu ni nyenzo muhimu inayotumika na serikali kudumisha amani na usalama. Watu wakishinda makanisani unapunguza majambazi na vibaka mtaani ndio maana taasisi za dini zinasajiliwa na wizara ya mambo ya ndani
Imani inasaidia lakini si imani za namna hii kufanya watu machizi mkuu.

Marufuku yasiwe general yaangalie baadhi ya huduma kama hizi. Umesahau Arusha watu kadhaa waliwahi poteza maisha kwa kukanyaga mafuta ya upako
 
Ukristo huwa uko wazi siku zote na watu wamesha yazoea hayo na hata kwenye maandiko yao hayo yameelezewa na kutabiliwa kitokea…shida uislam umejaa unafiki kujiona na kujitangaza kuwa wako na haki ila matendo yao ni tofauti yani ile kinafiki.
Hhhhhhh pole sanaaa

Ila sasa basi waislamu wanajua kufanya mambo yao kwa siri mna dunia nzima wanafanya kwa siri dah
Ila wakristo dunia nzima wao hawafichi hhhhhhhhh pole sanaa kijanaa

Muumini wa mtu
Yn 8:40 SUV

Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo.
 
Imani inasaidia lakini si imani za namna hii kufanya watu machizi mkuu.

Marufuku yasiwe general yaangalie baadhi ya huduma kama hizi. Umesahau Arusha watu kadhaa waliwahi poteza maisha kwa kukanyaga mafuta ya upako
Mafuta ya upako na maji ni ushirikina . Pia ni biashara kama biashara zingine
 
Wakati mwingine ni ugumu wa maisha, unapelekea watu kuwa kama machizi
Bruh hakuna bidhaa au huduma inayokosaga wateja
Mkojo ukiweka kwenye chupa ukasema unatibu hiv na ikaonekana watu wanapata unafuu wataunywa tu
 
images (52).jpeg
 
Back
Top Bottom