covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Mama zetu hao ha uwaambii kitu😅😆Sijui nini kinawafanya watu kuwa namna hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama zetu hao ha uwaambii kitu😅😆Sijui nini kinawafanya watu kuwa namna hiyo.
Imani inasaidia lakini si imani za namna hii kufanya watu machizi mkuu.Kama hawavunji sheria za nchi wanaachwa tu ni nyenzo muhimu inayotumika na serikali kudumisha amani na usalama. Watu wakishinda makanisani unapunguza majambazi na vibaka mtaani ndio maana taasisi za dini zinasajiliwa na wizara ya mambo ya ndani
Kabisa na ukitaka ukorofishane nao waambie kinyume na hao jamaaMama zetu hao ha uwaambii kitu😅😆
Eeh unataka kupewa laana bure..Kabisa na ukitaka ukorofishane nao waambie kinyume na hao jamaa
Mbona zamani hawa jamaa hawakuwepo, au ndo tuseme miaka hii kuna Mungu zaidi.Eeh unataka kupewa laana bure..
Ni kuwaacha km walivyo.
Hhhhhhh pole sanaaaUkristo huwa uko wazi siku zote na watu wamesha yazoea hayo na hata kwenye maandiko yao hayo yameelezewa na kutabiliwa kitokea…shida uislam umejaa unafiki kujiona na kujitangaza kuwa wako na haki ila matendo yao ni tofauti yani ile kinafiki.
Kama wamefikia hatua ya kuvuliwa nguo na kunyolewa mazivu mbele za watu hilo mbona ni jambo dogo sana mkuuTunakoelekea waumini watadungwa sindano, tena ya tako
Tunanena kwa lugha 🤪We!🤪
Tusifike huku kwenye kushutumiaana na kutoleana maneno machafu kutokana na misimamo ya kiimani haijawahi kuleta afyanyie wakiristo niwajinga sana.hebu eleza unafki wawa islamu uko wapi?
Mafuta ya upako na maji ni ushirikina . Pia ni biashara kama biashara zingineImani inasaidia lakini si imani za namna hii kufanya watu machizi mkuu.
Marufuku yasiwe general yaangalie baadhi ya huduma kama hizi. Umesahau Arusha watu kadhaa waliwahi poteza maisha kwa kukanyaga mafuta ya upako
Shemela, umeanza lini mambo haya? Au ndo mambo ya bad girl gone good?Oooh shika rabaaaaa....
Imani ni hatari..!! Usisahau imani hiyo hiyo ndiyo iliwauwa wale wafuasi wa Kibwetele, na hiyo hiyo ndo inawafanya watu wajitoe muhanga..!!Sijui nini kinawafanya watu kuwa namna hiyo.
Zako zimenishinda kushonaOooh shika rabaaaaa....
Kuna kanisa nahudumia shemShemela, umeanza lini mambo haya? Au ndo mambo ya bad girl gone good?
Bruh hakuna bidhaa au huduma inayokosaga watejaWakati mwingine ni ugumu wa maisha, unapelekea watu kuwa kama machizi
Ndio baadhi ya imani zilipofikia kwa sasaKama wamefikia hatua ya kuvuliwa nguo na kunyolewa mazivu mbele za watu hilo mbona ni jambo dogo sana mkuu