Hawa waumini wana imani kali sana

Hawa waumini wana imani kali sana

Imani inasaidia lakini si imani za namna hii kufanya watu machizi mkuu.

Marufuku yasiwe general yaangalie baadhi ya huduma kama hizi. Umesahau Arusha watu kadhaa waliwahi poteza maisha kwa kukanyaga mafuta ya upako
Ni kweli kuna mambo ya ajabu sana mkuu na huwa yanasababisha vifo ila viongozi hawawezi ingilia uhuru kikatiba wa kuabudu. Ni sisi wasikilizaji kuzitumia akili zetu kutambua wapigaji ni wepi na ndio maana hata kuna makamali kibao yanaendeshwa nchini watu wanafilisika lakini serikali haingilii kwa kuwa hakuna jinai dhidi ya Jamhuri.
 
Ni kweli kuna mambo ya ajabu sana mkuu na huwa yanasababisha vifo ila viongozi hawawezi ingilia uhuru kikatiba wa kuabudu. Ni sisi wasikilizaji kuzitumia akili zetu kutambua wapigaji ni wepi na ndio maana hata kuna makamali kibao yanaendeshwa nchini watu wanafilisika lakini serikali haingilii kwa kuwa hakuna jinai dhidi ya Jamhuri.
Binafsi naamini serikali ina nguvu ikiamua inawezekana tu
 
Back
Top Bottom