Hawa Wayahudi ukiwagusa tu unalo!

Hawa Wayahudi ukiwagusa tu unalo!

Semeni yote ila ukweli Kanye ana matatizo ya akili hasa.. Ona huu upupu😅
FB_IMG_16623193718264550.jpg
 
Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...
Egypt kulikuwa na weusi wengi, sio weusi tu eneo lile. Angeweza enda Mwarabu au Myahudi akaishi kwa vile nao walikuwepo. Hii inaondoa ulazima wa mweusi tu ndio lazima aishi Egypt ya enzi zile.

Kabla ya Yesu alikuwepo Joseph mwana wa Jacob, aliuzwa Egypt ugenini. Hakupokelewa kisa anafanana nao bali kama mtumwa. Na njaa ilipotokea familia yake ikahamia uko. Still walipokelewa na hawakufanana na wenyeji.

Simon wa Cyrene alikuwa mweusi, alipoishi Uyahudini hadi kubebeshwa msalaba wa Yesu hatutaandika historia yake tukasema Wayahudi ni weusi kisa Simon alienda kwao kwahiyo kujichanganya na wanaofanana nae.

Hata tukisoma kwa historia ya Wayahudi ambao sio Wakristo na Yesu kwao ni seremala tu raia wa kawaida bado hawamkani kama ni asili yao.

Egypt ilikuwa na civilization nzuri na kitovu cha movements kwenda Middle East na kurudi Northern Africa na kwenda Ulaya. Wasingekuwa na ushamba wa kukataa wageni wasiowafanana. Sababu ya msingi kuonyesha Yesu ni mweusi kwa hoja yako siioni
 
Yesu hakuwa Mzungu...
Semitic people ni wote ambao sio wazungu...so blacks hawezi kuambiwa ni anti Semitic wakati blacks ni Semitic Kama ambavyo Jews na Asians ..wote ni Semitic
Nadhani Semitics ni Hebrews (jews) Arabs na Ethiopians ( Eritrean/Tigreans). Somalis, Oromos etc cushites.
 
Kanye ndo kaachwa na Kardashian maana ..na pia ana matatizo ya akili kwa mbali...Tangu aachwe amekuwa kama toy mara avae ovyo ovyo alishaenda kama mti ivi kajivisha akipita nje kwa kina Kardashian ili asionewe kabembeleza ila wapi katemwa
Kadashian ukoo wa laana ule

Ova
 
In 1958, President Nasser of Egypt said of the Jews: 'They left here black and came back white'.
 
Tutazunguka sana na propaganda zitasemwa sana lakini ukweli ni kuwa wayahudi halisi walifanana na watu wa jamii ya Africa.

Hao wazungu waliowekwa hapo katika Israel ya sasa wapo kimkakati kwa ajili ya Kuvuruga Nchi za kiarabu zisiwe na umoja.
 
Back
Top Bottom