Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Egypt kulikuwa na weusi wengi, sio weusi tu eneo lile. Angeweza enda Mwarabu au Myahudi akaishi kwa vile nao walikuwepo. Hii inaondoa ulazima wa mweusi tu ndio lazima aishi Egypt ya enzi zile.Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...
Nadhani Semitics ni Hebrews (jews) Arabs na Ethiopians ( Eritrean/Tigreans). Somalis, Oromos etc cushites.Yesu hakuwa Mzungu...
Semitic people ni wote ambao sio wazungu...so blacks hawezi kuambiwa ni anti Semitic wakati blacks ni Semitic Kama ambavyo Jews na Asians ..wote ni Semitic
Ina maana mtu hawezi kuwa mwarabu au msomali halafu akawa anti Semitic..Nadhani Semitics ni Hebrews (jews) Arabs na Ethiopians ( Eritrean/Tigreans). Somalis, Oromos etc cushites.
Sawa muisrael wa buzaIsrael ndio mmiliki halali wa dunia yote.
Duh!Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.
aaise...mental slave is real...Israel ndio mmiliki halali wa dunia yote.
Unamlazimisha vp kuwa sehem sio sahihVile alimuacha Kardashian huwa simpendi tena
Kadashian ukoo wa laana uleKanye ndo kaachwa na Kardashian maana ..na pia ana matatizo ya akili kwa mbali...Tangu aachwe amekuwa kama toy mara avae ovyo ovyo alishaenda kama mti ivi kajivisha akipita nje kwa kina Kardashian ili asionewe kabembeleza ila wapi katemwa
Kwamba anaweza kupambana na Wayahudi? Ungelimuuliza kwanza Hayati Mzee Mengi kilimtokea nini alipowananga Wahindi miaka ile ya 1990.Mi namuaminia Kanye
Semeni yote ila ukweli Kanye ana matatizo ya akili hasa.. Ona huu upupu[emoji28]
View attachment 2397946
Huyo baba yao sasa duh mtihani sana ila wako overrated sana sio wazuri kiivyo.Kadashian ukoo wa laana ule
Ova
Acha propaganda.40% ya matajiri America ni wao
Kardashian ni blood sister wako?Vile alimuacha Kardashian huwa simpendi tena