Hawa Wayahudi ukiwagusa tu unalo!

Hawa Wayahudi ukiwagusa tu unalo!

Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.
Nasehemu gani kwenye biblia inasema yesu alikuwa mweusi?
 
Kanye alikua vizuri sana alipoanza kubwia sumu imepoteza maisha yake mtawasingia watu wote ila yeye kapotezwa na Bwimbwi hakuna kingine wakina Dr Dre wameongea hovyo kuhusu Mayahudi lakini wapo tuu na Snoopy...
Kwanini waliongea hovyo dhidi ya hao wanaoitwa mayahudi?
 
Tutazunguka sana na propaganda zitasemwa sana lakini ukweli ni kuwa wayahudi halisi walifanana na watu wa jamii ya Africa.

Hao wazungu waliowekwa hapo katika Israel ya sasa wapo kimkakati kwa ajili ya Kuvuruga Nchi za kiarabu zisiwe na umoja.
Kwani hata nchi za kiarabu zikiwa na umoja kipi kitatokea unavyodhani?
 
IMG_20221026_083059.jpg
 
Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.

Kwa hivyo wewe ni myahudi?.
 
Tangu lini mtu mweusi akawa semitic?. Semitic inamaana ya watu wenye origin ya middle East.
 
Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...

Kipindi wayahudi wapo utumwani misri wote walikuwa weusi pamoja na wamisri?
 
Kipindi wayahudi wapo utumwani misri wote walikuwa weusi pamoja na wamisri?


Kwani we hujui wayahudi sio wazungu ?na sio weupe?Kama walikuwa wazungu na weupe why Hitler aliwabagua na kuwachinja?
 
Kwani we hujui wayahudi sio wazungu ?na sio weupe?Kama walikuwa wazungu na weupe why Hitler aliwabagua na kuwachinja?

Nimekuuliza swali dogo. Wayahudi walivyokuwa utumwani misri, Ina maana wamisri weusi waliwatumikisha wayahudi weusi?

Na hao wayahudi weusi walienda wapi?
 
Back
Top Bottom