bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 3,083
- 5,179
Kwa hyo wahindi ni wa wayahudiKwamba anaweza kupambana na Wayahudi? Ungelimuuliza kwanza Hayati Mzee Mengi kilimtokea nini alipowananga Wahindi miaka ile ya 1990.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo wahindi ni wa wayahudiKwamba anaweza kupambana na Wayahudi? Ungelimuuliza kwanza Hayati Mzee Mengi kilimtokea nini alipowananga Wahindi miaka ile ya 1990.
Nasehemu gani kwenye biblia inasema yesu alikuwa mweusi?Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.
Kwanini waliongea hovyo dhidi ya hao wanaoitwa mayahudi?Kanye alikua vizuri sana alipoanza kubwia sumu imepoteza maisha yake mtawasingia watu wote ila yeye kapotezwa na Bwimbwi hakuna kingine wakina Dr Dre wameongea hovyo kuhusu Mayahudi lakini wapo tuu na Snoopy...
Kwani hata nchi za kiarabu zikiwa na umoja kipi kitatokea unavyodhani?Tutazunguka sana na propaganda zitasemwa sana lakini ukweli ni kuwa wayahudi halisi walifanana na watu wa jamii ya Africa.
Hao wazungu waliowekwa hapo katika Israel ya sasa wapo kimkakati kwa ajili ya Kuvuruga Nchi za kiarabu zisiwe na umoja.
Huku mwarabu wa vingunguti akiwa amepozi na kobazi lakeAlisikika myahudi wa msasani majungu place
Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.
Myahudi wa kweli ni mweusi, hao weupe ni wahamiaji
Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...
Kipindi wayahudi wapo utumwani misri wote walikuwa weusi pamoja na wamisri?
Myahudi wa kweli ni mweusi, hao weupe ni wahamiaji
Kwani we hujui wayahudi sio wazungu ?na sio weupe?Kama walikuwa wazungu na weupe why Hitler aliwabagua na kuwachinja?
Asome ufunuo vizuriMaandiko yapo una simu apo mkuu yatafute siwezi kukutafunia.
Kuwafatilia ni ujingaujinga tuHuyo baba yao sasa duh mtihani sana ila wako overrated sana sio wazuri kiivyo.