The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Nimekuuliza swali dogo. Wayahudi walivyokuwa utumwani misri, Ina maana wamisri weusi waliwatumikisha wayahudi weusi?
Na hao wayahudi weusi walienda wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza swali dogo. Wayahudi walivyokuwa utumwani misri, Ina maana wamisri weusi waliwatumikisha wayahudi weusi?
Na hao wayahudi weusi walienda wapi?
ni sehemu gani ya biblia inayosema yesu alikuwa mzunguNi sehemu gani ya biblia inasema Yesu alikuwa mweusi
The concept ni kwamba kuna watu ukiwagusa maana yake umeyaweka maslahi yako into jeopardy. Mengi ilimtokea kwasababu hakujua ya kwamba wateja wake wakubwa wa bidhaa zake walikuwa Wahindi. Alikuja kushtuka baada ya orders nyingi sana kuwa cancelled. Akaongea nao yakaisha.Kwa hyo wahindi ni wa wayahudi
Mimi nawapenda sana hawa majamaa kwenye Principal zao walisema Never ever again. Yani kamwe hawato uwawa kama alivyo fanya Hitler. Na kweli wamekuwa wakila vichwa vya kila anaye wagusa.Hii ndiyo hali anayokumbana nayo msanii
Kanye West baada ya kuwagusa "wenye dunia yao"(Wayahudi)! Jamaa alitoa kauli hii
“I’m a bit sleepy tonight but when I wake up I’m going death con 3 On JEWISH PEOPLE The funny thing is I actually can’t be Anti Semitic because black people are actually Jew also You guys have toyed with me and tried to black ball anyone whoever opposes your agenda,”!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mara baada ya kauli hii vitu vifuatavyo vimeanza kumtokea!!!!!!!
Nb 1: Fuatilia kwa undani asili ya wamiliki waliovunja naye mikataba!!!!!!!!!!!!
- West has lost access to his Instagram and Twitter accounts.
- An appearance on the unscripted series The Shop: Uninterrupted was also pulled.
- Balenciaga cut ties with the rapper and designer.
- The rapper is no longer being represented by the booking agency Creative Arts Agency.
- West has apparently lost the counsel of attorney Camille Vasquez.
- Clothing giant Adidas has cut ties with rapper.
- The rapper has also lost his position in Forbes magazine's list of billionaires. !!!!!!!!! Sijui kitakachofuata!!!!!!!
Nb 2: "To black ball anyone whoever opposes your agenda" Hapa alimaanisha nini???????????
Kwa nini picha rasmi zinatumika za wazungu katika vitabu vya picha?ni sehemu gani ya biblia inayosema yesu alikuwa mzungu
I never understand kwanini mnapenda muitwe Jews au mfananishwe nao. I'm no jew hata kama hao Jews walikua black kuliko Mimi.
Kanye kaongea ukweli kwenye mambo ya kiuchumi tu kuhusu Jews ila Jews wenyewe hawana shida na wewe hata ukijiita jew, kujiita doesn't change nothing. Wewe ukijiita mzungu, miarabu, myahudi doesn't mean anything.
Egpty imewahi kutawaliwa na Watu weusi ila watu wa Egpty hawajawahi kuwa weusi, wapo vile vile kama unavyowaona leo. Michoro yote ya zamani na data mbali mbali zinathibitisha hili. Hakuna mkangamyiko baina ya Wataalamu.Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...
Democracy changa la Macho Mkuu, inaitwa Democracy pale tu inapofit interest zao, ila Jambo wasilolipenda likitokea ghafla tu wana support udikteta.Ila naomba tu hawa Human rights sijui na wengine kupigania uhuru wa kuongea sijui uhuru wa kuwa unavyotaka kama wanavyoisema Qatar kila siku waache mara moja sababu hakuna kitu uhuru wa kuongea ila nini cha kuongea. Leo hii wewe waseme Jews na sasa limekuja lingine waseme mashoga tu utakiona cha mtema kuni.
Basi ana laana ya mkewe🤣Kanye ana matatizo ya afya ya akili.Tatizo lilizidi baada ya kuachana na Kim Kardashian
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Huyo rais alikuwepo akawaona kipindi hicho hao jews wakiondoka au nayeye ameunga unga tu historia?In 1958, President Nasser of Egypt said of the Jews: 'They left here black and came back white'.
Zipo nyingi tu,mfano ni kuzaliwa kwake.Ni sehemu gani ya biblia inasema Yesu alikuwa mweusi
Neno "Afrika" lilitungwa tu.
Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.
HahahaUkiherehere wake ameenda kutafuta nini Skechers?
Haya kasindikizwa na kutimuliwa HQ iliopo California
Kanye aondolewa kama mwizi daa
Kama umepanda kwa kuimba imba tu ndio utajiri wa mweusi