Hawa Wayahudi ukiwagusa tu unalo!

Kwa hyo wahindi ni wa wayahudi
The concept ni kwamba kuna watu ukiwagusa maana yake umeyaweka maslahi yako into jeopardy. Mengi ilimtokea kwasababu hakujua ya kwamba wateja wake wakubwa wa bidhaa zake walikuwa Wahindi. Alikuja kushtuka baada ya orders nyingi sana kuwa cancelled. Akaongea nao yakaisha.

Sasa huyu Kanye kawagusa Wayahudi. Si unaona sasa mambo yake yanavyoenda? Awaombe radhi ma Rabbi yaishe na yataisha. Aking'ng'ana, atampa kazi R Kelly ya kumtunzia kitanda!!!
 
Mimi nawapenda sana hawa majamaa kwenye Principal zao walisema Never ever again. Yani kamwe hawato uwawa kama alivyo fanya Hitler. Na kweli wamekuwa wakila vichwa vya kila anaye wagusa.
 
Logic kubwa sana

 
Ila naomba tu hawa Human rights sijui na wengine kupigania uhuru wa kuongea sijui uhuru wa kuwa unavyotaka kama wanavyoisema Qatar kila siku waache mara moja sababu hakuna kitu uhuru wa kuongea ila nini cha kuongea. Leo hii wewe waseme Jews na sasa limekuja lingine waseme mashoga tu utakiona cha mtema kuni.
 
Tanzania mbona wapo!si kuna wale wanaoweka bendera za Israel kwenye
Magari yao

Ova
 
Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...
Egpty imewahi kutawaliwa na Watu weusi ila watu wa Egpty hawajawahi kuwa weusi, wapo vile vile kama unavyowaona leo. Michoro yote ya zamani na data mbali mbali zinathibitisha hili. Hakuna mkangamyiko baina ya Wataalamu.
 
Democracy changa la Macho Mkuu, inaitwa Democracy pale tu inapofit interest zao, ila Jambo wasilolipenda likitokea ghafla tu wana support udikteta.

“They talk about democracy and many things, but when someone has a different opinion they are attacked by the same people who talk about democracy” – Neymar JR.

Kauli ya Neymar Juzi.
 
Ukiherehere wake ameenda kutafuta nini Skechers?
Haya kasindikizwa na kutimuliwa HQ iliopo California
Kanye aondolewa kama mwizi daa

Kama umepanda kwa kuimba imba tu ndio utajiri wa mweusi
 
Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.

Bible yote inasema Yesu Kristo ni mweusi ti!
Alikuwa na rangi moja na wamisri. Sasa mabeberu wanakwambia wamisri walikuwa weusi na wayahudi ni wazungu [emoji3062], full of bullshit walahi [emoji35]
Putin mwamba piga hao makaburu mpaka waseme poh!
 
Ukiherehere wake ameenda kutafuta nini Skechers?
Haya kasindikizwa na kutimuliwa HQ iliopo California
Kanye aondolewa kama mwizi daa

Kama umepanda kwa kuimba imba tu ndio utajiri wa mweusi
Hahaha

Kuimbaimba.....

Ndy bongo wanajivunia mabilionea wakata mauno

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…