Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?


Amnaa sitakiii nataka chaga boy
 
Ushauri wa bure mchaga hana mbwembwe mahaba inayotafuta nenda kwa mzazamo,Makonde,ndengereko etc ,maana ya Moshi,Mungu Onyesha Hela Ilipo😂😂😂😂
 
Ushauri wa bure mchaga hana mbwembwe mahaba inayotafuta nenda kwa mtazamo,Makonda,ndengereko etc ,maana ya Moshi,Mungu Onyesha Hela Ilipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseee
 
Wewe umezunguka tu, hapo tatizo ni ubahiri ..hakupi hela[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app

Ubahirii nimeuridhiaa wala sina tatizo maana sina mahitaji makubwa ya kufanya pasipo kupata kwake pesa mambo yangu yasiende


Issue ni kuwa hayuko romantic yaani tunachart kama mandonga na mwakinyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…