Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
🤣🤣🤣Mbususa kashakula mbona [emoji1]
Shoo yake ipoje maana dada zao tunawatunzia tu siri zao sijui kwa upande wa wakaka wa kichaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mbususa kashakula mbona [emoji1]
Huyo aliyekuonesha mahaba kwa miezi mitatu huyo ni mwenyekiti wetu, sisi wengine tukishatomba tu basi mahaba huishia hapo.
Mbona mi wasukuma na waha wana complement sanaa?au maza alimuibia mzee nini?Si bora hilo Mimi ananiitaga kabila langu et (wewe msukuma) kweli jmn[emoji1787][emoji1787]
Huyo atakuwa kamuacha mke wako uko kijijini kwenye migomba, vijana wakichaga wakija mjini hawaji na wake zao[emoji2][emoji2]sijasema ni ndogo ila sasa mpk mtakapo onana maybe after 4 month ama 3
Sasa mimi ninapokuwa nina shida ukimuomba asemi sikupi anasema anakupa ila hatoiii
Hata vocha hajawahi nitumia mpk nimeachaa tena Kumuombaa
My love mleta mada njoo kwa mm mwanaume toka Tanga,mapenzi yalipo zaliwa na kukulia.
Nitakuita majina yote,nitakufanyia Masaji kabla ya kulala na kunipa chakula cha usiku.
Njoo ufurahie mema ya mapenzi hujaumbiwa kukasirika mtoto mzuri,umeambiwa ucheke kila dakika.
Kuhusu pesa si haba maana nimestaafu utumishi wa umma kwa hiyo kiinua mgongo + pensheni bado zipo na hakuna wa kuzimaliza leo wala kesho.
Karibu PM bibiye nawe ulambe asali nami nikulambe hadi kunako....!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nifanyeje anipendeee asa
Wachaga wa Rombo ndiyo wazinguaji. Kibo Alex zinawakata stimuWanazinguaa wachaga
Walikuzingua na Nini ?Wachaga wa Rombo ndiyo wazinguaji. Kibo Alex zinawakata stimu
zungu hapatikani kibwegeUle mpango wa kutafuta mzungu ndio ukaangukia kwa mchaga???
Hahahah ugomvi wa wanawake na wanaume bahili haujawahi kuwa kawaida
huyo mtu umempendea hela zake wala usituzuge kabisa. Hii tabia inawagharimu kweli watoto wa kike sababu sio kila mwanaume kisa ana hela atakupa tu kiboya boya. Wengine wana mahesabu makali ya hela zao halafu mwanaume hawezi kukupa hela kama anakuona hu add value kwenye maisha yake.Nataka niende kwake nikasaule kadi zake
Kuna siku nilikuta maburunguti ya hela kwake nikatamani nimchomolee ila nikaacha maana sina hizo tabia
Ila mubahiriiiiii
You cant make someone romantic. Kama si romantic sie tu. Its never made ila mtu anakuwa hivyo just by personality tuMueleze ukweli kuwa nini unataka kutoka kwake. Romantic people are made.
Ukweli mchungu huwa tusipopenda hatuhangaiki na romanticness hamnagaNimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.
Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.
Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.
Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.
Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.
Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.
Naombeni majibu-
- Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
- Ni Tabia ya mtu binafsi?
- Hanipendi?
Unatongoza kizamani,kiboya boya,nenda Kama wewe kwa nini umsagie kunguni mchaga?Ukiwa na mm tutazaa mtoto romantic kwa mkewe kwa kuwa atakuwa anatuona sisi wazazi wake tunavyoishi na kudamshi.
Basi kama hutaki kumuacha Mchaga wako niwe spea tairi,niutulize na kuukosha moyo wako kwa mahabubati ya kila aina.
Hii ni neema kupata mwalimu wa kukupa full dose ya mahaba.
Huyo mchaga wako wazazi wake walikuwa walevi wa mbege wakilewa ni kwenda kulala na kupandana kimyakimya,mahaba hawezi kuyajua hata akienda chuo cha mahaba lazima afeli tu.
Come here baby..)))
Nimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.
Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.
Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.
Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.
Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.
Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.
Naombeni majibu-
- Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
- Ni Tabia ya mtu binafsi?
- Hanipendi?
Unaweza kuitwa majina kilaghai kumbe mwenzako anakutumia kama kopo la msalani (toilet love) kikubwa ridhika akikutoa stimMfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba