min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
mwanaume yoyote akiwa romantic hawezi kuyatimiza majukumu yake vzuri , kwa sababu atakua kihisia zaidi kuliko kutumia akili, nawashauri wanawake wawaepuke wanaume romantic kwani hao huwanyonga badae utakapo wavunja moyo , wanaume wote waliokuwa romantic , ndio wamefanya mauaji ya wapenzi wao au wake zao, mwanaume romantic atakutafuta kila saa, atatumia mda mwingi na ww wew unafikiri pesa atapatia wap? mwsho wa siku mdada atamwacha sasa apo atachukua maamuzi mabaya kwa sababu anatumia hisia zaidi badala ya akili , hauwezi kuwa romantic kamwe kama una tumia akili zaidi , romantic inaendana na hisia na hisia mda wote huwa na matokeo mabaya ple mmoja anapovunjwa moyo, alafu hawa wachaga wasasa msiwe nao sirious sana kwani wengi wao mdada alipigwa mimba huko mtoto akakulia kwa bibi , ndo wachaga wengi wapo hvyo sasa , yan mpka vigodoro na singeli wanacheza , wanajinyonga kisa mapenz , pombe chafu wanazibugia tunza pesa yako huko uchagani vijna watakuja kuuza viwanja laki tatu wakalewe tu, intermerrage imeharbu mno.