Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

HANIHUDUMII

PESA AKE AKINIPA NI MPK TUWE WOTE TENA VILE Mshamaliza maongezi kila mtu kwao ndio anatoa Ka elfu 20 [emoji57][emoji57]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kiufupi ni bahili
Eti "ka elfu 20" kwa hizi dharau una shida wewe mwanamke,
Hako ka elfu 20 angempa mama yake angemshukuru sana na kumbariki pia, ,,,ungrateful gold diger
 
Ujue sisi wa sasa tumekua na akili ile ya wanawake wa mjini sio watu wazuri maana miaka ya nyuma wazazi wetu walipotezwa sana na wanawake wa mjini ndio maana tunawaogopa.
Ukienda mjini kutafuta maisha wazazi hua wanatuambia muwe makini na wanawake wa mjini[emoji3]

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Mnakuwaga maHb ila ndiyo hivyo tena hampo romantic but ni husband material wazuri mnoo na ndoa zao hudumu sanaa
 
Wanaume wa kichaga ndio husband material nchi hii.....achana na hawa I love you nyingi, waongo waongo!

[emoji2][emoji2][emoji2]
Ninachompendea ni kijana mdogo ila akili yake iko shapuu sanaaa

Na katka mahusiano yangu yote yeye ndio mwenye umri mdogo kuzidi waliotangulia ila kawapita kila kitu kuanzia maendeleo hadi akili ya maisha

So mpk hapo mie nasema kama atanioa basi ni mume bora ukiachana na hiyo kasoro inginee
 
Ujue sisi wa sasa tumekua na akili ile ya wanawake wa mjini sio watu wazuri maana miaka ya nyuma wazazi wetu walipotezwa sana na wanawake wa mjini ndio maana tunawaogopa.
Ukienda mjini kutafuta maisha wazazi hua wanatuambia muwe makini na wanawake wa mjini[emoji3]

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app

Hahahaha ila wazazi wake sasa wote tupo nao town [emoji3][emoji3]
 
Ukitaka pesa ya mwanaume wa kichaga usimuombe pesa ya nguo na salon. mwambie beb nataka kufungua biashara nina mtaji kiasi kadhaa, Naomba niongezee, akikupa unajiongeza[emoji1787]! Hao pesa zao hazichezewi.

[emoji1787][emoji1787]umenifundishaa ngoja nijaribu hiyo


Yaani kuna muda huwa nawaza akinitumia nauli niile nisiendee ila Roho inanisuta maana ananiaminigiii
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] atakuwa na madeni [emoji38][emoji38]
 
Uyo mchaga usimuache atakuja kukufanya uwe na uwezo mkubwa wa kutengeneza pesa we komanaye tu tena aza kumuomba akufundishe kufanya biashara Kam ni mnafanya biashara.wew mwenye umekili Huwa anakushauri vitu vya maendeleo kwanini ustumie hiyo advantage vizur.zaidi zaidi umeishia kuja kumsengenya mchaga wa watu jamii foroum
 
Nimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
Ndio tulivyo wote.
Sisi mahaba yetu tunaonesha kwa kuhudumia familia ipasavyo. Muda mwingi tunawaza namna ya kuboresha maisha yako. Tukishazeeka huwa tunaonesha mahaba yote ushahidi ni R. Mengi na A. Mrema.
 
Anabadilika zikipita siku 3 anarudii kama zamani


Kuna siku tuligombana nikamwambia tuachane

Alinijibu “ Mapenzi kwake sio kipaumbele
Ni kama starehe tu yeye anawaza pesa hata nikimuacha haitomuuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa kumbe majibu unayo tayari, sasa hapo kakuchana ukweli we hutaki kukubali unataka kumbadilisha

Nigger, we never change, kama hupendwi hupendwi tu
 
Eti "ka elfu 20" kwa hizi dharau una shida wewe mwanamke,
Hako ka elfu 20 angempa mama yake angemshukuru sana na kumbariki pia, ,,,ungrateful gold diger

[emoji2][emoji2]elfu 20 umeanza kuniita gold diger

Miez 3 unaonana na babe wako ambae humpagi hata vocha afu unampa elfu 20 ulitegemea asemajee


Ofcoz ni nyingi si haba ila ndio hivyo ni bahirii kama niniiii
 
Sasa hela hupewi na bado sio romantic[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Wa nini huyo!!!

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] na Mimi ndio maana nimeleta uzi humu ni wa nini huyo jmn vyote hanipi ambavyo ni muhimu [emoji13][emoji13]
 
Sasa kumbe majibu unayo tayari, sasa hapo kakuchana ukweli we hutaki kukubali unataka kumbadilisha

Nigger, we never change, kama hupendwi hupendwi tu

Hiyo alinambia zamani sana baadae aka regret tukasolve mambo yakarudi vzr hajawahi tena nitamkia hivyoo
 
Ndio tulivyo wote.
Sisi mahaba yetu tunaonesha kwa kuhudumia familia ipasavyo. Muda mwingi tunawaza namna ya kuboresha maisha yako. Tukishazeeka huwa tunaonesha mahaba yote ushahidi ni R. Mengi na A. Mrema.

Kwaiyo nisubiri uzeeni 🥲🥲🥲
We kuwezaa
 
Uyo mchaga usimuache atakuja kukufanya uwe na uwezo mkubwa wa kutengeneza pesa we komanaye tu tena aza kumuomba akufundishe kufanya biashara Kam ni mnafanya biashara.wew mwenye umekili Huwa anakushauri vitu vya maendeleo kwanini ustumie hiyo advantage vizur.zaidi zaidi umeishia kuja kumsengenya mchaga wa watu jamii foroum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] heeeeee sijamsengenyaa bhn
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] heeeeee sijamsengenyaa bhn
achana na watoto wa mjini wataishia tu kukupeleka KFC kula kuku wakati huyo mchaga anaweza kukufanya ukawa Ata na biashara zako zikaja saidia watoto wako,na ndugu zako narudia tena mara ya mwisho komaa na mchaga muombe akufundishe kufanya biashara
 
Back
Top Bottom