Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Nimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
Mwache mtafuta pesa huyo wewe zile tu.
 
Nimesema tukiwa pamoja anatoa hela kama chakula atanunua atakupeleka mwenyewe hospital na atakuachia

InShot ili upate hela yake ni lazima uwe nae karibu haijarishi umekutana nae wapi barabarani au kwake lazima akuachie pesa

Ila ukiwa mbali sahau hata vocha hugusii [emoji1787]
Mangi mjanja hapo anapunguza idadi ya vizinga na hivi yuko mbali nawe anasave pesa zake mpaka mtakapokutana ndo uumchune
 
Mnakuwaga maHb ila ndiyo hivyo tena hampo romantic but ni husband material wazuri mnoo na ndoa zao hudumu sanaa
Kua romantic inategemea na mtu, pia makuzi yetu yanachangia hatuna mafunzo yoyote ya jando kama ilivyo baadhi ya makabila mengine, so wengi wetu tunajifunzia mapenzi mtaani
 
Nimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
LIPIA TANGAZO😅
 
Pole sana, ngoja wenyewe vichwa vibovu wakupate...
 
Poleh mamzumguuu hyo hakupendi analazmisha tu , em mchunguze labda anamwanamke mwingn
 
Sasa unataka mahaba halafu unakwenda olewa na mchagga au mkurya,au mjita unategemea nini?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoja nikuelekeze, ukitaka mahaba yale ya akina Alejandro (alehandro) then tafuta mwanaume kutoka Mbeya, Tanga, Dar es salaam. Hapo uhakika wa kupata mahaba upo hao wengine wanakuwa na mambo yao yanayowapeleka katika mahusiano mahaba sio jambo lao hata kidogo.
 
[emoji2][emoji2]elfu 20 umeanza kuniita gold diger

Miez 3 unaonana na babe wako ambae humpagi hata vocha afu unampa elfu 20 ulitegemea asemajee


Ofcoz ni nyingi si haba ila ndio hivyo ni bahirii kama niniiii
Kwani mahusiano ni kazi ya kulipwa au ni sehemu ya maisha?!

Mbona wewe haumlipi MUNGU kwa pumzi yako?
 
Nyie wanawake mnachotaka ni nini hasa?

1.pesa
2.mahaba
3.all of the above

Kama jibu ni no.3 bas hakuna mwanaume anaeweza kupata muda wa kukufanyia vyote hivo kwa asilimia 100
 
Nimekuwa na mahusiano na kijana kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
Hivi kwa nini unataka akuite sweetheart kwani wewe ni lile kabeji linaloitwa sweetheart cabbage?
Kwa nini unataka akuite honey, huoni unajishusha thamani? hivi chupa ya asali inafika hata 10,000 kwa nini asikuite Gold au Diamond?
Unataka akuite mke kwani ameshakuoa? Mtu hata pete ya uchumba hukupewa na unaruka unataka uitwe mke kwa sababu tu mna sex nae?
Kwa nini akuulize unakokwenda? Huoni ni kwa kuwa anakuamini hutomuendela kinyume ndio anakupa nafasi yako usatrehe na wenzako? Hivi hujawahi kusikia msemo "If it comes back to you, it’s yours forever. If it doesn’t, it was never yours to begin with"?
Mbona huyo exunamkumbuka, alokuwa akikuita kila jina mwisho amekupiga kibuti?
 
Uyo mchaga usimuache atakuja kukufanya uwe na uwezo mkubwa wa kutengeneza pesa we komanaye tu tena aza kumuomba akufundishe kufanya biashara Kam ni mnafanya biashara.wew mwenye umekili Huwa anakushauri vitu vya maendeleo kwanini ustumie hiyo advantage vizur.zaidi zaidi umeishia kuja kumsengenya mchaga wa watu jamii foroum
Hii bado ni pua mentality ya kimahusiano. Unapoingia katika mahusiano kwa lengo la kugain jambo fulani kwa faida yako binafsi huo ni ubinafsi na uchoyo. Na ndio sababu mahusiano mengi miaka hii hayafanikiwi hata kidogo na hakuna mtu anayetoboa kufika ndoa na mtu aliyekuwa nae tokea mwanzo wa safari ya mahusiano.

Ubinafsi ni sumu kubwa katika mahusiano yoyote yale Duniani leo hii. Ni vema kutambua kuwa mahusiano yanataka sacrifices kwanza maana umechagua kumpenda mtu na kuishi nae. Hakuna zawadi kubwa unayoweza kumpa mtu katika haya maisha kama kuwa nae bega kwa bega katika kila hali iwe mbaya au nzuri.

Sasa wengi huwa wanaingia katika mahusiano na gear ya kusema wanapenda ila ajenda zao ndizo huwa zinawaumbua. Mtu anakwambia hana furaha katika mahusiano kwasababu hatolewi out, hanunuliwi nguo za bei, hapewi pesa ya matumizi. Na hapo hamna hata miezi mitatu tokea muanze uhusiano.

Yaani upuuzi ni mwingi sana kwenye jamii kwasasa hebu tubadilikeni tuache tabia za kibinafsi.
 
Back
Top Bottom