Wewe ni bora liende, Mtu hujui unataka nini utakosaje amani?Labda amani kwako. Mi awamu zote huwa nina amani ilimradi naishi vzr na jamii, kama ulikuwa mkosefu sehemu lazima awamu flan uishi kwa tabu tu. Ila kwa sisi watiifu tuliishi hv hv enzi zote
Kuna hitaji na kuishi kwa amani kima wewe. π amani niko nayo na mahitaji ninayo.Wewe ni bora liende, Mtu hujui unataka nini utakosaje amani?
Kama hujui hata kutofautisha hizi awamu sitashangaa ukisema usiku ni mchana na mchana ukasema ni usiku.Labda amani kwako. Mi awamu zote huwa nina amani ilimradi naishi vzr na jamii, kama ulikuwa mkosefu sehemu lazima awamu flan uishi kwa tabu tu. Ila kwa sisi watiifu tuliishi hv hv enzi zote
Yule mwingine alikuwa anatumia ghiriba sana. Mwizi aliyejiita mzalendo. Apumzike anakostahiliAwamu ya sita ina amani ya kweli mioyoni mwa watu.Kuongoza sio kushurutisha ni kushawishi unaowaongoza.
Wameitana wote kutoka mchambawima kuja kumtetea ndugu yao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Machawa ya mama yamecharuka hatari!
Ni kwa uwezo wa Mungu tu mambo yetu yanakwenda ila huyu Rais kwakweli hakuna jambo hata moja alilofanya.Ndugu yetu au raisi wetu..? Jambo jema huwa halina haja ya kupambwa bali linajieleza tu naturally.
Kwa kuwa wewe sio mtanzania huwezi kututisha kwa huo uzwazwa wako. Nchi ipo mikono salama kabsa. Jitahidi utoe chuki, unyama, ukabila ukanda au tuseme kwa ujumla achana na legacy aka usukuma gang. Tanzania ni muhimu saana duniani kuliko umuhimu wenu katika hili taifa.Ni kwa uwezo wa Mungu tu mambo yetu yanakwenda ila huyu Rais kwakweli hakuna jambo hata moja alilofanya.
Huwezi kuona jema kama akili umeamua ione mabaya tu. Kuna shule zinajengwa nchi nzima, kuna bajeti ya kilimo imeongezeka kutoka bilioni 200 mpaka 700 kama haya sio makubwa basi hayupo wa kuubadilii msimamo wako.Ni kwa uwezo wa Mungu tu mambo yetu yanakwenda ila huyu Rais kwakweli hakuna jambo hata moja alilofanya.
Wa kumtetea SSH sio lazima watoke mchambawima, wamo huku bara na mamilioni ya watanzania.Wameitana wote kutoka mchambawima kuja kumtetea ndugu yao.
Huwezi kuona jema kama akili umeamua ione mabaya tu. Kuna shule zinajengwa nchi nzima, kuna bajeti ya kilimo imeongezeka kutoka bilioni 200 mpaka 700 kama haya sio makubwa basi hayupo wa kuubadilii msimamo wako.
Mwambie sisi wengine wala hatuku zaliwa pwani ila tunasema ukweli wa haya tunayo yaona. Watanzania mnataka nini..? Au hamuelwi kipi kilipoteaWa kumtetea SSH sio lazima watoke mchambawima, wamo huku bara na mamilioni ya watanzania.
Hatumii nguvu nyingi za mwili zaidi ya matumizi makubwa ya akili. Conviction is betrer than the use of force.
Wengine wanasutwa na aibu ukikumbuka ni hawa hawa wanaotawaliwa na akili za mfumo dume.Mkuu kuna watu ni matomaso hata akija yesu leo hawata ona kuwa kaja. Tatizo mtu akisha jiweka kukataa ukweli daima hawezi kufunga mana na ukweli. Ila muda utawaambia ukweli
Mie namshukuru Mama yetu kwa kutupunguzia lile deni la bodi la mikopo ambalo lilikuwa na riba. Maana yake ningestaafu nalo. Kumbe bodi walikuwa wanafanya kusudi kuwambikia watu ili waonekane wanakusanya madeni kwa ufanisi.Habari wakuu sijawahi andika hapa kwenye hili jukwaa la siasa ila leo acha ni andike kidogo tu.
Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye ndiye raisi wetu ameonyesha muelekeo mzuri kwa kiasi kikubwa katika uongozi wake japo ni mapema kidogo. Wapo watu bado sijui ni seme wana usingizi au bado giza limetanda machoni mwao kwa maana ya kutoona tofauti ya awamu hii ya 6 na ile ya 5. Binafsi na furahishwa na utendaji wa raisi wetu wa awamu iliyopo madarakani Mhe Samia Suluhu Hassan, kwa kuangalia namna anavyo zingatia ushirikishwaji wa idara zote katika kutenda au kufanya jambo husika ndani ya uongozi wake. Ndio yapo mapungufu machache hatuwezi sema yupo 100% ila kwenye hizo asilimia naimani amefikia 80% kupanda juu.
Aliipokea nchi kipindi kigumu hasa kufiwa na kiongozi mkuu wa nchi jambo ambalo ni geni.katika hili taifa letu. Yote alijitajidi na ameweza kutuunganisha kwa itikadi zetu tofauti tofauti, leo chadema na CCM wanacheka, CUF na Chedema wanakaa pamoja na CCM mtaani tunapiga story kadha wa kadha. Mambo ya kukaa mwaka bila ajira kwa wahitimu yameanza kutatuka japo idadi ya waliopo mtaani ni kubwa mno. Miradi iliyo achwa inakamilishwa na ameongeza miradi mingine. Fikiria ujenzi wa madarasa kwa mamia kwa shule zetu ni jambo jema na la kupendeza. Mhe amejitahidi kushirikiana na wataalamu kwa kila idara inayohitaji utaalamu. Ukiangalia kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi wa umma wataalamu wamekaa na kuja na ripoti nzuri ambayo imetumika kuwaongezea mshahara wafanyakazi wa umma. Demokrasia ile tuliyo izoea imeanza kurudi mahala pake, mambo ya kufanya maamuzi gizani hayapo tena.
Nyakati zimebadilika ila wapo wanaosema hafanyi lolote kwa macho yao yaliyozibwa ambayo hayaoni mabadililo kadhaa basi hawa tuwaweke kundi lile linalo tajwa "SUKUMA_GANG" hawa watu wao hawataki kuamini tusemalo au kuona watu tunaishi kwa amani, furaha na ushirikiano ambayo ndiyo tamaduni yetu.
Kuishi kwa mashaka au kuishi bila kukosoana katika taifa matokeo yake sio mazuri kikubwa tukosoane kwa hekima na kwa manufaa ya hili taifa letu.
Walionyimwa stahili zao wanasema wenyewe kuwa wanalipwa sasa hivi ni jambo jema taifa letu lina rudi mahala pake pa utu kwa watu wake.
Waliosema hataweza kutuongoza sijui wanajisikiaje..? Au nyie mnaoponda sijui mna roho au mawe.??
Mwisho. Myonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Mama anaupiga mwingi saana. Ni ombi kwa Mungu wangu wa mbinguni baba mwenye enzi zidi kumlinda na kumpa hekima Raisi wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan. View attachment 2250175
Weekend njema wakuu. Sabato ikawe njema na mzidi kumuombea raisi wetu
ππ»ππ»ππ»ππ»
Yule mzee alikuwa katili sana. Ila Mungu anatupenda sana, nimeamini.Mie namshukuru Mama yetu kwa kutupunguzia lile deni la bodi la mikopo ambalo lilikuwa na riba. Maana yake ningestaafu nalo. Kumbe bodi walikuwa wanafanya kusudi kuwambikia watu ili waonekane wanakusanya madeni kwa ufanisi.
Ajabu kipindi kile wakati nafuatilia ili hali nilikuwa najua kiasi kilichotumika kunisomesha walikuwa wagumu na hawakutaka kusikiliza.
Cha ajabu zaidi baada ya awamu ya sita... kwenye mfumo lile deni halisi ndio linaonekana! Inamaanisha walikuwa na data sahihi za viwango ambavyo walikopeshwa watu. Kweli kwenye haki dhuluma hujitenga.
View attachment 2250432
Umeonaeeh..? Haki huinua taifa. Yapo mengi mno. Watumishi wamefanya kazi kwa miaka saba bila kupanda daraja aisee ukweli tuuseme tu. Wengine watakuja kumuelewa Mhe raisi baadae kdogoMie namshukuru Mama yetu kwa kutupunguzia lile deni la bodi la mikopo ambalo lilikuwa na riba. Maana yake ningestaafu nalo. Kumbe bodi walikuwa wanafanya kusudi kuwambikia watu ili waonekane wanakusanya madeni kwa ufanisi.
Ajabu kipindi kile wakati nafuatilia ili hali nilikuwa najua kiasi kilichotumika kunisomesha walikuwa wagumu na hawakutaka kusikiliza.
Cha ajabu zaidi baada ya awamu ya sita... kwenye mfumo lile deni halisi ndio linaonekana! Inamaanisha walikuwa na data sahihi za viwango ambavyo walikopeshwa watu. Kweli kwenye haki dhuluma hujitenga.
View attachment 2250432