Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Machawa ya mama yamecharuka hatari!
Donbass sijui Luhansk/Crimea tangu Jonh alivyotutoka bado hujakubaliana na ukweli, unahisi kuwa ni ndoto; utaamka na kukuta hali ikiwa tofauti!!

Kwa muda wote tangu awamu ya sita iingie madarakani umegeuka kuwa hater wa mama, tupe sababu za msingi why do you hate Her Excellency sa[emoji817]?? It's Almighty desicion to heal this nation which was shredded into pieces.
 
Ndo mnaamini ndo silaha yenu ya mwisho kweli we bwabwa ninapo andika apa nipo chato na mama yako nae niko nae
Bwabwa ni mtu aneshobokea michingo au mambo ya wanaume wengine sasa kwa hii thread bwabwa ni nani kati ya mimi na wewe..? Sifumui watu malinda nina maadili ya kiafrika sina uboya kama unaouleta hapa. Afu wewe utakua choko 100%. Unachukia mawazo ya wengine huna hoja always matusi hii ina dhibitisha namna ulivyo fala. Jaribu kufikiria kabla hujaandika. Kila nyuzi za wenzako unawajia na matusi angalia. Utakazwa shoboka tu.
 
Jinga kweli wee Tena Ni mjinga Hadi kwa wakwe zako

Garama za maisha imepanda almost 50% bidhaa na huduma hazishikiki alfu unakuja kuonga ujinga eti anupiga mwingi

Wee Ni ovyo sna nimekudharau aise
Mjinga ni wewe ambae unadhani daima katika.hii dunia vitu vitabakia bei zile zile. Mfumuko wa bei upo kila sehemu. Hujasikia ya Uganda, Kenya nk huko napo yupo SSH..? Hilo fuvu lifikirishe kwanza kabla hujaja kujibu watu na kuwaita wajinga.
 
Kadiri ya andiko lako. Mwenye Shida Ni wewe. Hakuna mwenye Shida na mama Samia. Wewe unamiss marehemu waliomaliza zamu yao hapa duniani. Umekosa mada unakurupuka. Tulimpenda Rais JPM. Kaitwa kwa muumba. Sasa tunampenda Samia Rais wetu. Changamoto za uongozi lazima ziwepo kama changamoto za kifamilia. Sisi tumuunge mana mkono kwa kuchapa kazi mahali tulipo.

Fanya kazi ndugu Acha majungu. Hii mahaba na marehemu Ni dalili ya uchawi. Pole sana.
Rudia kusoma kilicho andikwa na uje tena..? Maana hata sijakuelewa
 
nchi inasonga mbele, mtake ama msitake, mungu wa Chato ndio hivyo keshakufa na hatarudi
ukipenda tukana kila aina yha Matusi ila Samia ndio Rais mpaka 2030 labda Mungu aamue vinginevyo
Hata ueleweki mara Mungu kafa mara uyo huyo mwingine eti hadi Mungu amue yaani ubongo wako umebunguliwa hadi hadi chawa wenzako wanashangaa Kwanzaa mimi uyo unaetaka awe rahisi hadi 2030 Hata ikiwa hadi 2070 poa tu kwa maana anaupiga mwingii hadi anapaisha
 
Habari wakuu sijawahi andika hapa kwenye hili jukwaa la siasa ila leo acha ni andike kidogo tu.

Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye ndiye raisi wetu ameonyesha muelekeo mzuri kwa kiasi kikubwa katika uongozi wake japo ni mapema kidogo.

Wapo watu bado sijui ni seme wana usingizi au bado giza limetanda machoni mwao kwa maana ya kutoona tofauti ya awamu hii ya 6 na ile ya 5.

Binafsi na furahishwa na utendaji wa rais wetu wa awamu iliyopo madarakani Mhe Samia Suluhu Hassan, kwa kuangalia namna anavyo zingatia ushirikishwaji wa idara zote katika kutenda au kufanya jambo husika ndani ya uongozi wake.

Ndio yapo mapungufu machache hatuwezi sema yupo 100% ila kwenye hizo asilimia naimani amefikia 80% kupanda juu.

Aliipokea nchi kipindi kigumu hasa kufiwa na kiongozi mkuu wa nchi jambo ambalo ni geni.katika hili taifa letu. Yote alijitajidi na ameweza kutuunganisha kwa itikadi zetu tofauti tofauti, leo chadema na CCM wanacheka, CUF na Chedema wanakaa pamoja na CCM mtaani tunapiga story kadha wa kadha.

Mambo ya kukaa mwaka bila ajira kwa wahitimu yameanza kutatuka japo idadi ya waliopo mtaani ni kubwa mno. Miradi iliyo achwa inakamilishwa na ameongeza miradi mingine. Fikiria ujenzi wa madarasa kwa mamia kwa shule zetu ni jambo jema na la kupendeza. Mhe amejitahidi kushirikiana na wataalamu kwa kila idara inayohitaji utaalamu.

Ukiangalia kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi wa umma wataalamu wamekaa na kuja na ripoti nzuri ambayo imetumika kuwaongezea mshahara wafanyakazi wa umma.

Demokrasia ile tuliyo izoea imeanza kurudi mahala pake, mambo ya kufanya maamuzi gizani hayapo tena.

Nyakati zimebadilika ila wapo wanaosema hafanyi lolote kwa macho yao yaliyozibwa ambayo hayaoni mabadililo kadhaa basi hawa tuwaweke kundi lile linalo tajwa "SUKUMA_GANG" hawa watu wao hawataki kuamini tusemalo au kuona watu tunaishi kwa amani, furaha na ushirikiano ambayo ndiyo tamaduni yetu.

Kuishi kwa mashaka au kuishi bila kukosoana katika taifa matokeo yake sio mazuri kikubwa tukosoane kwa hekima na kwa manufaa ya hili taifa letu.

Walionyimwa stahili zao wanasema wenyewe kuwa wanalipwa sasa hivi ni jambo jema taifa letu lina rudi mahala pake pa utu kwa watu wake.

Waliosema hataweza kutuongoza sijui wanajisikiaje..? Au nyie mnaoponda sijui mna roho au mawe.??

Kaushauri kwangu kwa utawala wake. Mhe Raisi kile kikokoteo kipya cha mafao nashauri au naomba wastaafu wapewe hela zao kwa namna wanavyotaka wao. Anaetaka kupewa yote apewe akishastaafu, anaetaka % kadhaa apewe kwa namna anayoona inamfaa yeye. Pesa ni zao wastaafu wasipangiwe wajipangie. Kikubwa washauriwe na wapate muongozo utakao wasaidia.

Mwisho. Myonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Mama anaupiga mwingi saana. Ni ombi kwa Mungu wangu wa mbinguni baba mwenye enzi zidi kumlinda na kumpa hekima Raisi wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan. View attachment 2250175

Weekend njema wakuu. Sabato ikawe njema na mzidi kumuombea raisi wetu
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mama yuko vizuri
 
Sukuma Gang wanaumia sana
Hawaamini hiki kinachofanywa na mama. Miradi inakamilishwa afu mishahara inapandishwa na fursa zitaonekana zaisi mzunguko unaletwa mahala pake. HERE WE GO
 
Back
Top Bottom