Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Machawa ya mama yamecharuka hatari!
Donbass sijui Luhansk/Crimea tangu Jonh alivyotutoka bado hujakubaliana na ukweli, unahisi kuwa ni ndoto; utaamka na kukuta hali ikiwa tofauti!!

Kwa muda wote tangu awamu ya sita iingie madarakani umegeuka kuwa hater wa mama, tupe sababu za msingi why do you hate Her Excellency sa[emoji817]?? It's Almighty desicion to heal this nation which was shredded into pieces.
 
Ndo mnaamini ndo silaha yenu ya mwisho kweli we bwabwa ninapo andika apa nipo chato na mama yako nae niko nae
Bwabwa ni mtu aneshobokea michingo au mambo ya wanaume wengine sasa kwa hii thread bwabwa ni nani kati ya mimi na wewe..? Sifumui watu malinda nina maadili ya kiafrika sina uboya kama unaouleta hapa. Afu wewe utakua choko 100%. Unachukia mawazo ya wengine huna hoja always matusi hii ina dhibitisha namna ulivyo fala. Jaribu kufikiria kabla hujaandika. Kila nyuzi za wenzako unawajia na matusi angalia. Utakazwa shoboka tu.
 
Jinga kweli wee Tena Ni mjinga Hadi kwa wakwe zako

Garama za maisha imepanda almost 50% bidhaa na huduma hazishikiki alfu unakuja kuonga ujinga eti anupiga mwingi

Wee Ni ovyo sna nimekudharau aise
Mjinga ni wewe ambae unadhani daima katika.hii dunia vitu vitabakia bei zile zile. Mfumuko wa bei upo kila sehemu. Hujasikia ya Uganda, Kenya nk huko napo yupo SSH..? Hilo fuvu lifikirishe kwanza kabla hujaja kujibu watu na kuwaita wajinga.
 
Rudia kusoma kilicho andikwa na uje tena..? Maana hata sijakuelewa
 
nchi inasonga mbele, mtake ama msitake, mungu wa Chato ndio hivyo keshakufa na hatarudi
ukipenda tukana kila aina yha Matusi ila Samia ndio Rais mpaka 2030 labda Mungu aamue vinginevyo
Hata ueleweki mara Mungu kafa mara uyo huyo mwingine eti hadi Mungu amue yaani ubongo wako umebunguliwa hadi hadi chawa wenzako wanashangaa Kwanzaa mimi uyo unaetaka awe rahisi hadi 2030 Hata ikiwa hadi 2070 poa tu kwa maana anaupiga mwingii hadi anapaisha
 
Mama yuko vizuri
 
Sukuma Gang wanaumia sana
Hawaamini hiki kinachofanywa na mama. Miradi inakamilishwa afu mishahara inapandishwa na fursa zitaonekana zaisi mzunguko unaletwa mahala pake. HERE WE GO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…