Haya chukueni hii ikiwa bado mbichi na mbaki nayo, kwani kwa aina ya Mgeni Rasmi aliyeandaliwa kwa Mchezo ujao hakuna wa Kuthubutu Kugoma / Kumgomea

Haya chukueni hii ikiwa bado mbichi na mbaki nayo, kwani kwa aina ya Mgeni Rasmi aliyeandaliwa kwa Mchezo ujao hakuna wa Kuthubutu Kugoma / Kumgomea

KUBWA JINGA LA JF


Watu wote wenye akili timamu wanajikita kwenye mijadala yenye akili timamu,kama mjadala wa masuala ya umeme,huko Huwezi hata kukomenti kwasababu kila muda unawawaza mabwana zako Yanga & Simba!


Bila shaka Yanga & Simba walikukung'uta Mikwaju ya maana ndiyo maana kila muda unawaanzishia nyuzi hapa!
Kaka samahani nje ya mada kidogo

Kwenye ule uzi wako wa pili yule rafiki yako mtatiro kama sikosei ulisema alikuwa na ngoma

Ila mliwahi kwenda kwa mganga na mganga aliwachanja kwa kutumia kisu kidogo


Alianzia rafiki yako ukaja wewe


Nimeukumbuka huo uzi kaka


Nisamehe ila nauliza tu upo salama lakini
 
Si wanajifanya wote Watoto wa Mjini sana na kutaka kuipelekesha TFF sasa Mchezo wao ujao Mgeni rasmi ni Rais Samia.
Mgeni Rasmi ata akiwa Motsepe iyo mechi labda mtacheza na Simba queens,,yanga aijawai kucheka na kima na nadhani kwenye vilabu vyenye msimamo hapa nchini yanga ndio wababe wa misimamo subilia utaona!
 
Mgeni Rasmi ata akiwa Motsepe iyo mechi labda mtacheza na Simba queens,,yanga aijawai kucheka na kima na nadhani kwenye vilabu vyenye msimamo hapa nchini yanga ndio wababe wa misimamo subilia utaona!
Samia aliwaambia mumuachie fei toto aende azam na akaenda azam hakuna aliyegoma kama kweli mna msimamo mngegoma.
 
Samia aliwaambia mumuachie fei toto aende azam na akaenda azam hakuna aliyegoma kama kweli mna msimamo mngegoma.
Usiwe unafananisha vitu, Kila jambo Lina umuhimu wake na mazingira yake kwaiyo usikariri vitu
 
Eng hersi anautaka ubunge wa kongwa na mama ndo anaidhinisha majina nani apite? Je huyo msomali anaweza kumdindia mama?
Ona sasa ulivyo mweupe kichwani,,hapa tunajadili ubunge? Hersi alikuletea proposal yake akakwambia anagombea ubunge?
 
Nnavyo fahamu mgeni rasimi ana alikwa na timu mwenyeji, alafu mechi zote za ligi hazijakua na mgeni rasimi hii iweje na mgeni rasimi?
Anajua basi?? Hajui kama mgeni rasimi hualikwa na timu mwenyeji. Jamaa zamani nilikuwa naina anazo kichwani ila Kwa Sasa najutia kwanini kaniproove wrong??
 
Ona sasa ulivyo mweupe kichwani,,hapa tunajadili ubunge? Hersi alikuletea proposal yake akakwambia anagombea ubunge?
Tatizo lako unaishi mkoani vijijini ndani ndani huna connection wala exposure hizo ni habari za ndani ambazo mmasai kama wewe huna,
Ubunge anaupataje kama atamgomea mama?
 
Tatizo lako unaishi mkoani vijijini ndani ndani huna connection wala exposure hizo ni habari za ndani ambazo mmasai kama wewe huna,
Ubunge anaupataje kama atamgomea mama?
Ebu tuondolee hizi taka taka zako hapa,,jikite kwenye mada husika na sio porojo za kufikirika!
 
Mgeni Rasmi ata akiwa Motsepe iyo mechi labda mtacheza na Simba queens,,yanga aijawai kucheka na kima na nadhani kwenye vilabu vyenye msimamo hapa nchini yanga ndio wababe wa misimamo subilia utaona!
Kama mlivyoonesha msimamo kwa Fei.Ucjidanganye mwenyew hakuna mkate mgumu mbele ya chai Bwashee
 
Kaka samahani nje ya mada kidogo

Kwenye ule uzi wako wa pili yule rafiki yako mtatiro kama sikosei ulisema alikuwa na ngoma

Ila mliwahi kwenda kwa mganga na mganga aliwachanja kwa kutumia kisu kidogo


Alianzia rafiki yako ukaja wewe


Nimeukumbuka huo uzi kaka


Nisamehe ila nauliza tu upo salama lakini
Lina UKIMWI halafu linahangaika na GENTAMYCINE asiye nao. Asante sana Mkuu kwa kutufumbua leo kuwa huyu Juha (Fool) ni Mgonjwa. Na sasa atanikoma hakyamungu hapa JamiiForums. Kumbe ndiyo maana Kutwa linahangaika nami hapa JamiiForums kwakuwa tayari limeshachanganyikiwa kutokana na huko Kuugua kwake Ugonjwa wa UKIMWI? Kudadadeki....

Cc: UMUGHAKA
 
Hivi mwenye mamlaka ya kumwalika mgeni rasmi ni tff au mwenyeji wa mechi??
Halafu nikisema huna Akili / Watu wa Yanga SC hamna Akili mnakimbilia Kunilaumu kuwa GENTAMYCINE nawatukana JF.
 
Sijui kwanini naamini hii match ilihairishwa makusudi kabisa sababu ya tukio siku ya wanawake duniani huko Arusha na hii sababu ya ugeni rasmi haya mengine ya kuzuia kufanya mazoezi ni starting point
 
Back
Top Bottom