Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

Kijana punguza stress za kujitakia. Mtoto yeyote akizaliwa ndani ya himaya yako toka kwa mkeo wa ndoa na akaitwa kwa jina lako huyo ni wako wewe lea usiulize.
Kama ikatokea kiumbe akakubambikia mtoto, ukaona halitaathiri upande wako wote na uwezo unao we chukua huyo mtoto lea.
 
You're a Certified Imbecile.
 
Mtu ana sura kama hii unataka utumie DNA gani
 
Hii inatumika huko vijijini, wanaokojoa kando ya nyumba kwenye majani.
Ni ujinga kumchungulia mtoto wako wa kike akikojoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…