Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?

Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂

FB_IMG_17299406701748457.jpg
 
DIETZ ni neno ambalo kweli lilikuwa linaandikwa kwenye chemli(tuliliita yai la chemli).Nilikuwa najiuliza hapo zamani maana yake sikuipata.Nilijiuliza sana.Je,ni lugha ipi ilikusudiwa?Kiingereza,Kijerumani au ni alama tu ya kibiashara?Sikuelewa.
 
DIETZ ni neno ambalo kweli lilikuwa linaandikwa kwenye chemli(tuliliita yai la chemli).Nilikuwa najiuliza hapo zamani maana yake sikuipata.Nilijiuliza sana.Je,ni lugha ipi ilikusudiwa?Kiingereza,Kijerumani au ni alama tu ya kibiashara?Sikuelewa.
ok ni neno tu lakini lazima liwe lina maana yake mkuu
 
Sikumbuki Ila Mimi wakati nakuwa 2000s chemli kuiona nimeiona kijijini Kwa babu miaka ya 2004 hivi
Ndiyo maana.Umeona tofauti ya namna tulivyoweka kumbukumbu kulingana na miaka?Wakati unaiona mwaka 2004 mimi nipo kazini kwangu kubeba mizigo stendi ya mabasi kwa miaka mitano.
 
Back
Top Bottom