Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Kunywa maji, relax.

Hiki ni kijiwe cha story mchanganyiko.
Sio lazima kuwa serious muda wote.
Wapeleke kwenye vichekesho.Ujinga lazima upingwe ama sivyo utazoeleka.Ndio tatizo letu kila jambo tunachukulia kiutaniutani.Hata vitu serious.Umbeya,uzushi na uzandiki ndio mada zinazochukua nafasi kubwa kwenye maisha yetu ya kila siku.
 
Sasa kama brand moja ilifanya vizuri kibiashara kwanini maharamia wasitumie jina/nembo hiyo ili kujipatia mauzo?.. sio kitu cha ajabu, kuna iphone fake apple, viatu fake vya nike n.k

Huyo bwana Dietz; taa na chemli zake ziliaminika na kuuza sana miaka hiyo, ndio maana wakaja maharamia wakaiga
ok
 
Kunywa maji, relax.

Hiki ni kijiwe cha story mchanganyiko.
Sio lazima kuwa serious muda wote.
😂😂😂😂daaah kagoogle uko halaf kaja na kiswaenglish chake aonekane mwambaa
 
Ni jina la kampuni lilitokana na jina la founder wa hio lighting industry aliyeitwa Robert Edwin Dietz- so DIETZ ni jina lake la tatu
 
Kuna member aliwa
Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?

Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂

View attachment 3136147
h kusema
Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?

Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂

View attachment 3136147
Kuna member aliwahi kusema kupasua hii ktu ilkua ni kesi ya uhain nyumban kwao
 
Ni jina la mmiliki wa kampuni iliyokua inatengeneza hizo taa, kuanzia miaka ya 1840s
 
Kuna member aliwa

h kusema

Kuna member aliwahi kusema kupasua hii ktu ilkua ni kesi ya uhain nyumban kwao
acha.tu wazee.walikuwa.hawataki.mambo ya.bahati.mbaya anaeishika sio careless asee
 
Ni jina la kampuni lilitokana na jina la founder wa hio lighting industry aliyeitwa Robert Edwin Dietz- so DIETZ ni jina lake la tatu
ok kwa utandawaz huu lazima tudifain hivo km ukikuta moenej unajua kbs kinywaji ni cha.mo wa simba
 
Kwel wengi wenu humu ni watoto wa alfu mbili , yani mnashangaa hilo🤣 wa hili tujuaje...
1730023603690.jpg
 
DIETZ Lantern zilianza kutengenezwa,mwaka 1915.Je kulikuwa na Tanzania wakati huo.Hizi conspiracy theories za kijinga zinadumaza sana.Hiyo ni trademark haina uhusiano wowote na Nchi yeyote.
Tena ni jina la Ubini wa familia ya kimarekani Robert Edwin Dietz
 
w

ewe.ume google hata.tukigoogle jina lako tutapata maana usioamin sasa ,,, km ni hivo bas wazungu tulishawafukuza kitambo nani aliwapa tenda ya kuendeleza kutengenez au kwann mtanzania atengenez atumie neno hilo kwan hamna lingine.
Kampuni hiyo iliendelea sana kutoka USA mpaka Hong Kong na mwisho wakatupiwa Wachina ndio wakawa wanafyatua hizo
Kampuni ilianza zamani sana na taa hizi ni maarufu dunia nzima na mpaka sasa hata Amazon zinauzwa
 
Back
Top Bottom