Wapeleke kwenye vichekesho.Ujinga lazima upingwe ama sivyo utazoeleka.Ndio tatizo letu kila jambo tunachukulia kiutaniutani.Hata vitu serious.Umbeya,uzushi na uzandiki ndio mada zinazochukua nafasi kubwa kwenye maisha yetu ya kila siku.Kunywa maji, relax.
Hiki ni kijiwe cha story mchanganyiko.
Sio lazima kuwa serious muda wote.