Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibatari daah nchi imetoka Mali Sana hii 🤔Ndiyo maana.Umeona tofauti ya namna tulivyoweka kumbukumbu kulingana na miaka?
wwe utakuwa junior tulia sie tumetumia mpaka 2010 na hatujui kushtuka tukasoma hilo neno na kulingamua
Hii ilikuwa inatumia Sana Bukoba ziwani katika kuvua dagaaMiaka inaenda sana, nakumbuka karabai back in the days.
h
ata sasa vipo.nenda masoko.kuu mkoa uliopo ulizia vibatari unapata sema utumiaji umeisha.ila.bado.vipo
Unajuaje chemli usijue karabai mkuu. Though miaka hiyo karabai ilikuwa kwa familia matawi...mwanga wake sio poa.aiseee heshima kwako mkuu hii siijui
aiseee heshima kwako mkuu hii siijui
Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂😂😂Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?
Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂
View attachment 3136147
Wacha ujinga mwamba! DIETZ lilikuwa jina la kampuni iliyokuwa kutengeneza hizi taa za chemli sijui tulikuwa tunaita taa za Kandiri/li. Ilikuwa kampuni ya Kimarekani! Mwenye kampuni akiitwa Mr. Robert Edwin Dietz.Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂