Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Sikumbuki Ila Mimi wakati nakuwa 2000s chemli kuiona nimeiona kijijini Kwa babu miaka ya 2004 hivi
wwe utakuwa junior tulia sie tumetumia mpaka 2010 na hatujui kushtuka tukasoma hilo neno na kulingamua
 
Sikumbuki Ila Mimi wakati nakuwa 2000s chemli kuiona nimeiona kijijini Kwa babu miaka ya 2004 hivi
wwe utakuwa junior tulia sie tumetumia mpaka 2010 na hatujui kushtuka tukasoma hilo neno na kulingamua
 
Miaka inaenda sana, nakumbuka karabai back in the days.
 

Attachments

  • Screenshot_20241027_104336_Facebook.jpg
    Screenshot_20241027_104336_Facebook.jpg
    126.2 KB · Views: 2
DIETZ Lantern zilianza kutengenezwa,mwaka 1915.Je kulikuwa na Tanzania wakati huo.Hizi conspiracy theories za kijinga zinadumaza sana.Hiyo ni trademark haina uhusiano wowote na Nchi yeyote.
 
aiseee heshima kwako mkuu hii siijui

Kama hauifahamu hii basi wewe bd Jr Sana

Hii karabai ikiwashwa inamwanga Mkali Sana Kama balbu

Huwa wanaitumia wavuvi hasa kanda ya ziwa katika harakati za kutafuta samaki
 
Aisee ulipokuwa unapewa usafishe hicho kioo(hapo ulitumika unga au majivu)ujue familia nzima imekuamini,ukitaka kujua balaa lake uvunje
 

Dietz Standard Grade Lanterns​

Brief History

Robert Edwin Dietz first began selling whale oil and camphene lamps and lanterns in 1840 at the age of 22. Robert and his brother Michael patented the first practical flat wick burner especially designed for the then new fuel oil, kerosene, in 1859. The following decade Robert sold his interest in “Dietz & Company” to begin manufacturing “Irwin Patent” tubular lanterns after buying the defunct Archer and Pancoast Company from a receiver in 1868. Since that time the R.E. Dietz Company manufactured hundreds of lantern models, and pioneered the automotive lighting industry. The new lanterns offered below are not reproductions, but are a continuation of production on original tooling and presses, with some models now over 100 years old. The lantern division of the R. E. Dietz Company moved to Hong Kong in 1956, and all Dietz lantern production ceased in the U.S.A. in 1970. In 1982 the Dietz lantern factory was moved from Hong Kong into China. The R.E. Dietz Company was closed in the United States in 1992. For nearly 150 years, Dietz lanterns have been known around the world as “The Old Reliable.”
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?

Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂

View attachment 3136147
Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂😂😂
 
Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂😂😂
tumechelewa kuipat elimu
 
Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂
Wacha ujinga mwamba! DIETZ lilikuwa jina la kampuni iliyokuwa kutengeneza hizi taa za chemli sijui tulikuwa tunaita taa za Kandiri/li. Ilikuwa kampuni ya Kimarekani! Mwenye kampuni akiitwa Mr. Robert Edwin Dietz.
 
Back
Top Bottom