Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?

Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂

View attachment 3136147
DIETZ ni nembo(motto) ya yai la chemli za taa za mafuta zilizokuwa zinatengenezwa Ujerumani Magharibi kabla ya miaka ya sitini, nembo(motto) ikimaanisha kiongozi wa watu.
 

Dietz Standard Grade Lanterns​

Brief History

Robert Edwin Dietz first began selling whale oil and camphene lamps and lanterns in 1840 at the age of 22. Robert and his brother Michael patented the first practical flat wick burner especially designed for the then new fuel oil, kerosene, in 1859.
 
Ni
Tuliosoma shule za kayumba hatukuwa na muda wa kusoma na kungamua maandishi hivi sasa ndio nimeelewa waliandika hivi na je walikuwa wana.maana gani?

Walikosa neno lingine au basi kuna jambo? DIETZ alimaanisha watumiaji wote tutafia Tanzania hatutatoboa kwenda nje ya nchi au😂

View attachment 3136147
nini hiki...?
 
Back
Top Bottom