Haya maandishi yalikuwa yana maana gani?

Nimelitumia sana kujisomea usiku sekondary,kumbe lilikuwa linanilaani ndo maana sijaenda popote
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unajuaje chemli usijue karabai mkuu. Though miaka hiyo karabai ilikuwa kwa familia matawi...mwanga wake sio poa.
Inawezekana mkuu maana mitaa ya Kanda ya kati hapo hivi vitu viliikuwa vichache pia mdau inategemea amekulia wapi maana taa ya kandili aka chemli ilikuwa maarufu zaidi hasa ukipiga hatua kutoa level ya kibatari though hata ikiwepo chemli lazima kuwe na kibatari hata kimoja cha kuchafua pua

Karabai ilikuwa maarufu ukanda wa uvuvi automatically na maeneo jirani na uvuvi waliweza kuiona na kuinunua pia
 
Unajuaje chemli usijue karabai mkuu. Though miaka hiyo karabai ilikuwa kwa familia matawi...mwanga wake sio poa.
mkuu karabaibsijui.koroboi nibkidude kidogo kinamshikio km kikombe hiv ika hyo uliyopost sio karabai au.nitakuwa.sijui
 
DIETZ Lantern zilianza kutengenezwa,mwaka 1915.Je kulikuwa na Tanzania wakati huo.Hizi conspiracy theories za kijinga zinadumaza sana.Hiyo ni trademark haina uhusiano wowote na Nchi yeyote.
hakuna mzungu akaandika nembobyake.bila maana na.hyo miaka umejuaje au umetolea maandiko yaliyoanfikwa km waoendavyo wao yachapishwe.au.ulikuwepo miaka hyo
 
w
ewe.ume google hata.tukigoogle jina lako tutapata maana usioamin sasa ,,, km ni hivo bas wazungu tulishawafukuza kitambo nani aliwapa tenda ya kuendeleza kutengenez au kwann mtanzania atengenez atumie neno hilo kwan hamna lingine.
 
Wacha ujinga mwamba! DIETZ lilikuwa jina la kampuni iliyokuwa kutengeneza hizi taa za chemli sijui tulikuwa tunaita taa za Kandiri/li. Ilikuwa kampuni ya Kimarekani! Mwenye kampuni akiitwa Mr. Robert Edwin Dietz.
mkuu huyu mtengenezaj ni jenereshe.ya.zaman sana namnaiongelea wakat hakuna hata mmoja wapo alikuwa kwa dunian wakat.ipo ila mmeenda fasta mkagoogle mlete majibu muonekane hakuna linalowashinda,,
 
mkuu karabaibsijui.koroboi nibkidude kidogo kinamshikio km kikombe hiv ika hyo uliyopost sio karabai au.nitakuwa.sijui
Kuna Koroboi (kibatari) na karabai ambazo ni vitu viwili tofauti. Karabai hiyo kwenye picha ilikuwa ukiiwasha una-pump kama uliwahi kuona yale majiko ya stove alafu huo wavu kwa ndani unatuna unawaka kama bulb na mwanga mkali zaidi kama umeme kiaina. Kimsingi Karabai ilikuwa ya kishua zaidi kuliko Chemli na ilikuwa inatumika zaidi na wavuvi kwenye kutega kitoweo aka dagaa etc kwa kuwavuta waje kwenye mwanga

Hiyo chini karabai full picha πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20241027-111245~2.png
    132.2 KB · Views: 2
Kama hauifahamu hii basi wewe bd Jr Sana

Hii karabai ikiwashwa inamwanga Mkali Sana Kama balbu

Huwa wanaitumia wavuvi hasa kanda ya ziwa katika harakati za kutafuta samaki
umepindua meza ghafla.mwenyewe
 
ok asantee sasa nimejua.kutofautisha karabai/kibatari
 
DIETZ Lantern zilianza kutengenezwa,mwaka 1915.Je kulikuwa na Tanzania wakati huo.Hizi conspiracy theories za kijinga zinadumaza sana.Hiyo ni trademark haina uhusiano wowote na Nchi yeyote.
Kunywa maji, relax.

Hiki ni kijiwe cha story mchanganyiko.
Sio lazima kuwa serious muda wote.
 
w

ewe.ume google hata.tukigoogle jina lako tutapata maana usioamin sasa ,,, km ni hivo bas wazungu tulishawafukuza kitambo nani aliwapa tenda ya kuendeleza kutengenez au kwann mtanzania atengenez atumie neno hilo kwan hamna lingine.
Sasa kama brand moja ilifanya vizuri kibiashara kwanini maharamia wasitumie jina/nembo hiyo ili kujipatia mauzo?.. sio kitu cha ajabu, kuna iphone fake apple, viatu fake vya nike n.k

Huyo bwana Dietz; taa na chemli zake ziliaminika na kuuza sana miaka hiyo, ndio maana wakaja maharamia wakaiga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…