Haya mabadiliko ninayaona peke yangu ama nanyi wengine mnayaona?

Haya mabadiliko ninayaona peke yangu ama nanyi wengine mnayaona?

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.

Kuna siku niliiona pale Pestana Dodoma majamaa wameshiba na miili imejengeka vyema, wamevaa vipens vifupi hadi juu ya mapaja na vimebana maungo yao hadi maeneo ya kukalia...🤔

Kuna mmoja juzi katoka huko mkoani safi kaingia mjini namuona amevaa vizuri tu, siku ya tatu suruali hazimtoshi zinaanguka tu kiunoni..🤣

Kuna mmoja amekuja juzi akapewa kibarua hapa akapiga kazi safi akachoka kavua shati lake kabaki na suruali kafunga mkanda wake vizuri tu, nilicho kiona leo baada ya kuvua shati eti kafunga kamba ya viatu badala ya mkanda....
Nimemtimulia mbali na kazi hakuna....😕

Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana....😕🤨
 
Mada yako ina tugusa na Sisi wavaa kobazi
715497036.jpg
705680006.jpg
 
Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.

Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana.
Weka kapicha tuelewe zaidi....
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Wasalaam
Kwa Sasa
+267
 
Kuna mmoja juzi katoka huko mkoani safi kaingia mjini namuona amevaa vizuri tu, siku ya tatu suruali hazimtoshi zinaanguka tu kiunoni..🤣
Ndio kusema mjini hali akashiba so amekonda au😂

Mmoja tupo naye kijiweni hapa, yaani anavaa mlegezo akinyanyuka lazima avute suruali, halafu ni mbaba wa miaka 40 hata hajishtukii.
 
Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.

Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana.
Kampeni ya Upinde imewaathiri mno.
 
Kampeni ya Upinde imewaathiri mno.
Kuna mmoja amekuja juzi akapewa kibarua hapa akapiga kazi safi akachoka kavua shati lake kabaki na suruali kafunga mkanda wake vizuri tu, nilicho kiona leo baada ya kuvua shati eti kafunga kamba ya viatu badala ya mkanda....
Nimemtimulia mbali na kazi hakuna....😕
 
Back
Top Bottom