Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamevuka mipaka sasa wana vaa hivyo niviite chupi vilivyo raruka tena vinawabanaHii ni tabia ya kishoga kabisa ina kera sana, na hii ni tabia maarufu jijini Dar es salaam mikoa mingine ni nadra sana kukuta kijana ana vaa kwa mtindo huo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio kusema mjini hali akashiba so amekonda au[emoji23]
Mmoja tupo naye kijiweni hapa, yaani anavaa mlegezo akinyanyuka lazima avute suruali, halafu ni mbaba wa miaka 40 hata hajishtukii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Una tabia mbayaa lolKuna mmoja amekuja juzi akapewa kibarua hapa akapiga kazi safi akachoka kavua shati lake kabaki na suruali kafunga mkanda wake vizuri tu, nilicho kiona leo baada ya kuvua shati eti kafunga kamba ya viatu badala ya mkanda....
Nimemtimulia mbali na kazi hakuna....[emoji53]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vibukta vifupi mapaja yote nje...
Visuruali vinawabana kutembea hadi waweke mikono mfukoni..
Ni kero Aiseeee
Bora hivi kuliko kuweka mapaja wazi mwanaume una taka ufirw***??View attachment 2591820
Kwahyo unataka tuvae hivi
Hapana bana siwez vaa hivi kbsa
Mrejezo navaa kiukwel
😂😂😂Wazee mmepitwa na wakati, muwaache vijana na zama zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kila kizazi kicheze na wakati wake.
Rafiki sasa. Sema rafiki anapendezagaWanaboa sana
Ushy kawa babu. Vijana wanampofua machoAngalia umri wako
Kuna stage ya umri umeiingia kwa kasi
Ila mambo yako sawia kabisa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Huwa najiuliza sana kuhusu hili jambo, sijui wanaupata wapi ujasiri wa kuvaa hivyo.pia kuna hii tabia ya kuvaa vibukta vinavyo wacha mapaja wazi