Haya mabadiliko ninayaona peke yangu ama nanyi wengine mnayaona?

Haya mabadiliko ninayaona peke yangu ama nanyi wengine mnayaona?

Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.

Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana.
Hovyo kabisa..
 
Vijana wamevurugwa na maisha hawana ajira ndo maana wameamua kuendekeza mambo ya ajabu ajabu Kama hayo.

Nani alaumiwe??
 
Yaani hutu tusuruali twao sijui nani aliwadanganya wanapendeza🙆🙆🙆
Upuuzi mtupu🚮🚮
 
Hapana mkuu siwezi kukubali watoto wangu hata wa wenzangu wafanane na tabiazako aiseeee......Shindwa[emoji1781]
Wee unazungumzia Tabia au mavazii? Mbna hueleweki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza wakati nyie mnavaa mabwanga juu yanabana makalio chini mapama mbona hatukuongea, kipindi mnafuga nywele kichwani wanaume zinakua kama wigi kuna mtu aliwauliza, kila wakati na mambo yake we yaache yatapita
Umemalizaaaaa.
 
Kuna mmoja juzi katoka huko mkoani safi kaingia mjini namuona amevaa vizuri tu, siku ya tatu suruali hazimtoshi zinaanguka tu kiunoni..🤣
Sijajua upo serious na unachaoandika ila suala la vijana kuvaa KATA-K limebaki kwenye kubalance ujinsia Mfano wakiongelewa mavazi ya vijana wanawake wanavaa suruali za kubana nk Basi hili ku-balancd pande mbili ndio kwa wanaune hutajwa kata-k ila kiuharisia hakuna vijana wanaovaa kata-k utatembea kutoka Mbagala mpaka Mbezi mwisho na usione aliyevaa kata-k.

Tunadike uharisia wakuu kwa hili napinga
 
Wake zenu ndo wanapenda kutuona hivyo kwahiyo kaeni kwa kutulia mababu.
[emoji16]
 
hiyo ya visuruali kuwa vifupi miguuni nikajua wanakwepa vumbi lisichafue kumbe ni fasheni🤔
 
Vijana wamevurugwa na maisha hawana ajira ndo maana wameamua kuendekeza mambo ya ajabu ajabu Kama hayo.

Nani alaumiwe??
Nikweli mkuu, hapa kuna wazazi/walezi hawaku timiza wajibu wao. Pia wapo vijana wanaiga kwa kudhania wapo sahihi wanapo acha maungo yao ya siri kwenye hadhira.
 
Back
Top Bottom