Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe wanajiona wajanja ila wanaboa kweli.Alafu eti wana teyea kabisa kwa kujiona wapo timam..😎
Ni mchakato wa ukuaji, Ila kwa kata-K nampinga mtoa mada,Ni sehemu ya ukuaji wataacha tu
Siku hizi vijana hawavai Kata-K labda mtaani kwenuKwamba tuwapongeze wakivaa kata k...🤨 siku sijazo sizitavaliwa chini ya goti...🤔
Kwamba tuwapongeze wakivaa kata k...🤨 siku sijazo sizitavaliwa chini ya goti...🤔
Sorry sio ykoPunguza ukali wa maneno basi maana mtandao Kijiji, sikutishi Bali nakuelekeza na ukinielewa itapendeza 🙏🙏
Sorry sio ykoKwamba tuwapongeze wakivaa kata k...🤨 siku sijazo sizitavaliwa chini ya goti...🤔
Mambo ya mjini jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana.
Kuna siku niliiona pale Pestana Dodoma majamaa wameshiba na miili imejengeka vyema, wamevaa vipens vifupi hadi juu ya mapaja na vimebana maungo yao hadi maeneo ya kukalia...[emoji848]
Kuna mmoja juzi katoka huko mkoani safi kaingia mjini namuona amevaa vizuri tu, siku ya tatu suruali hazimtoshi zinaanguka tu kiunoni..[emoji1787]
Kuna mmoja amekuja juzi akapewa kibarua hapa akapiga kazi safi akachoka kavua shati lake kabaki na suruali kafunga mkanda wake vizuri tu, nilicho kiona leo baada ya kuvua shati eti kafunga kamba ya viatu badala ya mkanda....
Nimemtimulia mbali na kazi hakuna....[emoji53]
Yaani awamu hii imekua na vijana wa hovyo sana....[emoji53][emoji2955]
Asee hamna kitu kinanikera kisuruali njiwa na kimebana Kwa chini halafu hawavai socks such a foolish fashion.. takataka uchafu..fesheni nyingine ziacheni zilivyo jameni...huna Hela ,huna chochote zingine ukivaa Zina shout umasikini wako hasa hii ya kisuruali njiwa bila socks ina watu wake mie nimewaza tu Kwa sauti sijasema bhanaPunguza ukali wa maneno basi maana mtandao Kijiji, sikutishi Bali nakuelekeza na ukinielewa itapendeza [emoji120][emoji120]
Asee hamna kitu kinanikera kisuruali njiwa na kimebana Kwa chini halafu hawavai socks such a foolish fashion.. takataka uchafu..fesheni nyingine ziacheni zilivyo jameni...huna Hela ,huna chochote zingine ukivaa Zina shout umasikini wako hasa hii ya kisuruali njiwa bila socks ina watu wake mie nimewaza tu Kwa sauti sijasema bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vikaptula haviwapendezi kabisa basi tu hawajui, ndo maana najipendea zangu wazee tu hawa kina chekibob hapana ni aibu hata kuwatambulisha leo avae kata k, kesho kiboksa keshokutwa imechanwa mpk kwenye pumbu mfyuuuuu,
2020 ktk safari nilikutana na boyfriend wa dogo wangu mmoja hivi akiwa na mdogo wake walikuwa wamevaa hivyo vikaptula[emoji15]nilifadhaika sana