Pre GE2025 Haya mabango ya Mama Samia kila kona, nani anagharimia? Yanatusadia nini kama nchi?

Pre GE2025 Haya mabango ya Mama Samia kila kona, nani anagharimia? Yanatusadia nini kama nchi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
hqdefault.jpg

Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

FwjfQ8vWIAA6Eji.jpg


Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

maxresdefault.jpg


FwjfQ8uXoAE2bof.jpg


FrhdMI3XoAM0z9t.jpg



Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

hq720.jpg


E6kjFSlWEAM6kTF.jpg



Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
 
Naunga mkono hoja nafikiri wanaosimamia ni wenyewe hao timu kizimkazi ila sisi wananchi wake wanatuona kama viumbe vya ajabu yaani Kila mda umeme unakata sana mara bidhaa zinapanda sana bei mara tudanganywe kuwa Kuna bima ya afya kwa wote mara bima ya afya haitumiki hospital za private mara viongozi watuone sisi hayawani
 
Naunga mkono hoja nafikiri wanaosimamia ni wenyewe hao timu kizimkazi ila sisi wananchi wake wanatuona kama viumbe vya ajabu yaani Kila mda umeme unakata sana mara bidhaa zinapanda sana bei mara tudanganywe kuwa Kuna bima ya afya kwa wote mara bima ya afya haitumiki hospital za private mara viongozi watuone sisi hayawani
Tuna serikali iliyofikia kilele chake. Haiwezi kufanya ziada ya yale waliyofanya.

Nchi inayumba ndani. Na wanatumia bunduki kunyamazisha sauti za wanaolalamika
 
Jana nimeona moja maeneo ya Mfugale mama akikaribisha mwaka mpya🤣🤣.

Budget ya kutengeneza hayo mabango nina yakini ingeweza hata jenga vituo vya afya kadhaa.

Wameshindwa kuonyesha anachofanya, wameamua kuonyesha sura yake ili tuizoee.

Sitostaajabu ikiwa kampuni inayoprint hayo mabango ni ya Abdul.

1705819942170.png
 
Unajua hawana akili kwaakua by 2025 hata wakiweka Mabango tena hayatakua na impact yoyote, yaani walifanya a very wrong timing
Ndo tatizo la vettings kukosa nafasi kwenye maeneo nyeti.

Akili zao zinashindwa kujikita kwenye kuikwamua nchi kwenye mtanziko wa uchumi, siasa na kijamii badala yake wanakimbizana na miswada ya kinga dhidi ya kushtakiwa, mafao kwa wenza wa viongozi, sheria za udhibiti wa uhuru wa kikatiba na kadhalika.

Bad timing maana wasiowaoependa wamejaaliwa akili na ubunifu kuliko hao wanaotumia Katiba na Sheria kujinufaisha
 
Unajua hawana akili kwaakua by 2025 hata wakiweka Mabango tena hayatakua na impact yoyote, yaani walifanya a very wrong timing
Tatizo ukomo wa fikra zao ni upigaji wa wakati husika na si athari ya muda mrefu wanayofanya.

Wanapiga kampeni toka alipoingia madarakani kiasi kwamba hatokuwa na jipya la kufanya au kuonyesha ikifika 2025.
 
Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
Wacha kuogopa mabango, jikite na kazi yako inayokupa kipato. Mabango yanalipiwa na aliyeyaweka.
 
Jana nimeona moja maeneo ya Mfugale mama akikaribisha mwaka mpya🤣🤣.

Budget ya kutengeneza hayo mabango nina yakini ingeweza hata jenga vituo vya afya kadhaa.

Wameshindwa kuonyesha anachofanya, wameamua kuonyesha sura yake ili tuizoee.

Sitostaajabu ikiwa kampuni inayoprint hayo mabango ni ya Abdul.

View attachment 2878091
angekuwa msikivu angeondoa ule mswada wa kinga kwa TISS wanapofanya mauaji
 
Eti kila mbunge kaweka jimboni kwake, akifanya ziara mikoani mpaka mabenki na taasisi fulani huweka mabango hayo kana kwamba ni msimu wa kampeni
 
View attachment 2878110Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

View attachment 2878111

Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

View attachment 2878107


View attachment 2878108

View attachment 2878109


Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

View attachment 2878112


View attachment 2878113


Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
Huyu ni rais wa bahati mbaya, unataka afanyeje? Anataka watu wajue yeye ni rais.
 
Back
Top Bottom