Pre GE2025 Haya mabango ya Mama Samia kila kona, nani anagharimia? Yanatusadia nini kama nchi?

Pre GE2025 Haya mabango ya Mama Samia kila kona, nani anagharimia? Yanatusadia nini kama nchi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata yeye anajua hakubaliki ndio maana ametumia muda wote tangu ashike madalaka kujinadi kama mechi ya Simba na yanga, lakini upumbavu ni kwamba hiyo pesa wanayo itumia kuweka huo upumbavu ni pesa ambayo ingeweza kusaidia maisha ya Watanzania wengi wanao teseka maeneo mengi ya nchi
 
View attachment 2878110Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

View attachment 2878111

Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

View attachment 2878107


View attachment 2878108

View attachment 2878109


Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

View attachment 2878112


View attachment 2878113


Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
Lissu aliyalipua hayo mabango , Halafu walichokisahau ni kwamba , Mabango hayasaidii lolote , jiwe aliweka mabango hadi kwenye vyoo vya umma lakini mwisho akaiba kura
 
Haya mabango ya 🕔 mia yanakuza uchumi wa mifukoni mwa wapigaji waliofumania mgodi WA Kodi zetu TU.
Na hayana tija wala faida kwa taifa
 

Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

View attachment 2878111

Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

View attachment 2878107


View attachment 2878108

View attachment 2878109


Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

View attachment 2878112


View attachment 2878113


Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
Kama naye anayapenda basi Kuna shida mahali
 
Lissu aliyalipua hayo mabango , Halafu walichokisahau ni kwamba , Mabango hayasaidii lolote , jiwe aliweka mabango hadi kwenye vyoo vya umma lakini mwisho akaiba kura
Usimsingizie Jiwe!! Kazi za Jiwe zilikiwa zinajulikana na zinajitangaza zenyewe.

Nyie CHADEMA kumsema Jiwe ndo kimewapoteza kwenye siasa. Sijui kwanini hamjifunzi
 

Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

View attachment 2878111

Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

View attachment 2878107


View attachment 2878108

View attachment 2878109


Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

View attachment 2878112


View attachment 2878113


Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?

Itakuwa pesa Mwarabu hiyo...
DPW.
 
Kitu kizito kichwani, ndio tukome mbele ya safari
 
Halafu Nchimbi anakuambia Mama yake kafanya makubwa na yupo kimya siyo kama wengine.

Hao wengine waliishia kujisifia tu majukwaani bure,yeye anatumia gharama pia kueleza anachofanya si bora angeandika kwenye miamba nchi nzima kama Bwana Nchemba.

Pale Kahama bango moja kubwa lipo pale kwenye lango la kuingilia stendi kuu ya mabasi, imagine.
 

Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?

Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?

View attachment 2878111

Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?

View attachment 2878107


View attachment 2878108

View attachment 2878109


Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?

Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?

View attachment 2878112


View attachment 2878113


Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.

Tunahitaji

  1. Huduma bora za afya
  2. Maji safi, salama ya uhakika
  3. Umeme usio katikakatika
  4. Miundombinu imara
  5. Katiba mpya
  6. Kushuka kwa mfumuko wa bei
  7. Kudhibiti rushwa
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
Kibaya chajitembeza
 
Kuna mwalimu wangu wa psychology enzi hizo alikua ni raia wa Japan kupitia haya mabango nimekumbuka kauli yake moja.

Alisema "sehemu yoyote ukiona mtu anaibuka kujionesha kwa kutumia nguvu sana miongoni mwa wenye akili jua huyo ndio mjinga kuliko wote kwenye kundi"
 
Back
Top Bottom