Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,619
- 5,780
Hata yeye anajua hakubaliki ndio maana ametumia muda wote tangu ashike madalaka kujinadi kama mechi ya Simba na yanga, lakini upumbavu ni kwamba hiyo pesa wanayo itumia kuweka huo upumbavu ni pesa ambayo ingeweza kusaidia maisha ya Watanzania wengi wanao teseka maeneo mengi ya nchi