Rais wa bahati mbaya amekuja baada ya Rais wa laana KUNYAKULIWAHuyu ni rais wa bahati mbaya, unataka afanyeje? Anataka watu wajue yeye ni rais.
Lissu aliyalipua hayo mabango , Halafu walichokisahau ni kwamba , Mabango hayasaidii lolote , jiwe aliweka mabango hadi kwenye vyoo vya umma lakini mwisho akaiba kuraView attachment 2878110Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?
Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?
View attachment 2878111
Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?
View attachment 2878107
View attachment 2878108
View attachment 2878109
Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?
Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?
View attachment 2878112
View attachment 2878113
Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.
Tunahitaji
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
- Huduma bora za afya
- Maji safi, salama ya uhakika
- Umeme usio katikakatika
- Miundombinu imara
- Katiba mpya
- Kushuka kwa mfumuko wa bei
- Kudhibiti rushwa
Kama naye anayapenda basi Kuna shida mahali
Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?
Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?
View attachment 2878111
Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?
View attachment 2878107
View attachment 2878108
View attachment 2878109
Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?
Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?
View attachment 2878112
View attachment 2878113
Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.
Tunahitaji
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
- Huduma bora za afya
- Maji safi, salama ya uhakika
- Umeme usio katikakatika
- Miundombinu imara
- Katiba mpya
- Kushuka kwa mfumuko wa bei
- Kudhibiti rushwa
Usimsingizie Jiwe!! Kazi za Jiwe zilikiwa zinajulikana na zinajitangaza zenyewe.Lissu aliyalipua hayo mabango , Halafu walichokisahau ni kwamba , Mabango hayasaidii lolote , jiwe aliweka mabango hadi kwenye vyoo vya umma lakini mwisho akaiba kura
Mimi pia kakanakuheshimu sana brother.
Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?
Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?
View attachment 2878111
Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?
View attachment 2878107
View attachment 2878108
View attachment 2878109
Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?
Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?
View attachment 2878112
View attachment 2878113
Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.
Tunahitaji
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
- Huduma bora za afya
- Maji safi, salama ya uhakika
- Umeme usio katikakatika
- Miundombinu imara
- Katiba mpya
- Kushuka kwa mfumuko wa bei
- Kudhibiti rushwa
nilikuwa napitia nyuzi za melo za 2007 nikakutana na komenti yako huko..Nikasema dah! Huku mpo kitambo. Akati 2007 mimi najifunza mwandiko na hesabu za magazijtuto. Respect sana.Mimi pia kaka
Kibaya chajitembeza
Ina maana wananchi wameshindwa kuelewa nini Rais wetu anafanya hadi watangaziwe kwenye mabango?
Ina maana raia hawamjui rais wao hadi afanyiwe kampeni kwenye mabango ilihali yupo madarakani?
View attachment 2878111
Haya mabango kila kona nchini yanaendelea kusimikwa kana kwamba tupo kwenye kampeni za uchaguzi aa urais yana sadifu nini haswa?
View attachment 2878107
View attachment 2878108
View attachment 2878109
Kama yanalipiwa na wafanyabiashara, wao wanapata nini in collateral?
Kama serikali inatoa hela, mbona ripoti ya CAG ipo kimya.kwenye hili? Je hela inatoka kwenye vote gani ya bajeti?
View attachment 2878112
View attachment 2878113
Kama huu ndo ubunifu wa kitengo, basi tuna watumishi mafisadi huko ndani kuliko hata wanasiasa wetu.
Tunahitaji
HAyo mabango mnayoyaweka yanatusaidia nini sisi wananchi?
- Huduma bora za afya
- Maji safi, salama ya uhakika
- Umeme usio katikakatika
- Miundombinu imara
- Katiba mpya
- Kushuka kwa mfumuko wa bei
- Kudhibiti rushwa