Haya mabehewa TRC Wamezitolea ufafanuzi wa Kitaalamu kabisa

Haya mabehewa TRC Wamezitolea ufafanuzi wa Kitaalamu kabisa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au nchi za wenzetu.

Haya mabehewa utaambiwa hayajawahi pata ajali na pia aliyekuwa anayatumia ni mwanamke tena bibi kizee.

Vichwa vyake kwenye matangazo utaona wameandika havijawahi shushwa engine. Limetembea kms chache yu 47,000 haijawahi gongwa. Unamwaga tu oil ,jino moja Msamvu hii hapa.

Jamaa wanasema hayo ya kizamani ni maalumu kwa ajili ya safari za mbali. Usiulize mbali wapi. Halafu yale ya kisasa yatakuwa yanapiga routes za hapa hapa town. Mbagala ,gongo lamboto, mwenge,Tegeta na Mabibo.

Screenshot_2022-11-24-12-17-36-853_com.twitter.android~2.jpg
 
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini... Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au nchi za wenzetu...
Ikiwa hizo bedford/leyland model ni kwa ajili ya masafa marefu (kigoma, mwanza) mbona yameletwa mapema sana kabla hata hiyo sgr haijafika huko?
 
Za kizamani hata ndani hujaona zipoje, hii imekaaje mzee? Au za kisasa zipoje kwa nje?
Inshu sio eti kwa ndani yamekaaje!!vyombo hivyo hutengenezwa kulngana na spidi yake huwezi kuwa na behewa lenye pembe nne useme eti ni la treni ya mwendo kasi.

Wewe angalia vichwa tu vya treni za mwendo kasi vilivyo lazima viwe kama vya duara ili kuweza kupunguza ukinzani wa upepo.Labda ni kutokana na spidi yake ya km 160 /saa.

Ndio maana wametumia hayo ila sasa kwanini walionyesha mengine leo yana kuja mengine?!!huu ujanja ujanja ndio huwa una leta maswali mengi,
 
Hayo mabehewa ya kihindi uenda ni ya reli ya Kati na si ya SGR. Yale mekundu yalishachakaa na kupauka rangi,
 
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au nchi za wenzetu...
Kupatana .com [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Inshu sio eti kwa ndani yamekaaje!!vyombo hivyo hutengenezwa kulngana na spidi yake huwezi kuwa na behewa lenye pembe nne useme eti ni la treni ya mwendo kasi.wewe angalia vichwa tu vya treni za mwendo kasi vilivyo lazima viwe kama vya duara ili kuweza kupunguza ukinzani wa upepo.Labda ni kutokana na spidi yake ya km 160 /saa .Ndio maana wametumia hayo ila sasa kwanini walionyesha mengine leo yana kuja mengine?!!huu ujanja ujanja ndio huwa una leta maswali mengi,

IMG_0901.jpg
Aje aangalie behewa hizi za SGR na behewa zilizoletwa
 
Back
Top Bottom