Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au nchi za wenzetu.
Haya mabehewa utaambiwa hayajawahi pata ajali na pia aliyekuwa anayatumia ni mwanamke tena bibi kizee.
Vichwa vyake kwenye matangazo utaona wameandika havijawahi shushwa engine. Limetembea kms chache yu 47,000 haijawahi gongwa. Unamwaga tu oil ,jino moja Msamvu hii hapa.
Jamaa wanasema hayo ya kizamani ni maalumu kwa ajili ya safari za mbali. Usiulize mbali wapi. Halafu yale ya kisasa yatakuwa yanapiga routes za hapa hapa town. Mbagala ,gongo lamboto, mwenge,Tegeta na Mabibo.
Haya mabehewa utaambiwa hayajawahi pata ajali na pia aliyekuwa anayatumia ni mwanamke tena bibi kizee.
Vichwa vyake kwenye matangazo utaona wameandika havijawahi shushwa engine. Limetembea kms chache yu 47,000 haijawahi gongwa. Unamwaga tu oil ,jino moja Msamvu hii hapa.
Jamaa wanasema hayo ya kizamani ni maalumu kwa ajili ya safari za mbali. Usiulize mbali wapi. Halafu yale ya kisasa yatakuwa yanapiga routes za hapa hapa town. Mbagala ,gongo lamboto, mwenge,Tegeta na Mabibo.