Haya mabehewa TRC Wamezitolea ufafanuzi wa Kitaalamu kabisa

Haya mabehewa TRC Wamezitolea ufafanuzi wa Kitaalamu kabisa

Ujanjaujanja Wa Ccm Huu
Gusi La Enzi Ya Mkoloni
 
Ujanjaujanja Wa Ccm Huu
Gusi La Enzi Ya Mkoloni
Wataalam watatetea mpaka tone la mwisho halafu baada ya miaka miwili itaonekana kulikuwa na makosa.......ila chanzo Cha nchi yetu kuwa hapa tulipo ni hawa wanaojiita wataalam
 
Hii tenda tungewapa mafundi welding wale wanaochonga vibanda vya biashara na mafundi sofa kwa ajili ya interior design tungeokoa sana hela
 
Wazanzibara safari ni kichapo tu;ukikimbia nchale,ukisimama nchale,ukicheka nchale,ukilia nchale na ukinuna nchale!
Njomba Nchumali Diblo Dibala alienda kukamilisha mchongo.
Twafwaaa walahi!
 
Watanzania ni watumiaji wazuri wa vifaa used na hakuna ubaya wowote kutumia hivyo vitu yaani used au mitumba.

Ila kitu muhimu ni kwa tuambiwe ukweli wote.
 
Ikiwa hizo bedford/leyland model ni kwa ajili ya masafa marefu (kigoma, mwanza) mbona yameletwa mapema sana kabla hata hiyo sgr haijafika huko?
hayo ni reject wazungu wanayatupa kwetu sababu kwao yanaharibu mazingira.africa is a dumping place.
 
Hizo behewa ni kama zile za kwenye movie za Amitha Batchan
Za kichwa kwa mara nyingine tena
 
Kilichonifurahisha ni kwamba nayo wameyafunga kwenye zile karatasi za mikate ili yaonekane mapya wabongo wezi sana aisee mpaka inauzi ..hapo uchelewi kusikia wamelipa hela nyingi sana kwa hiyo chuma chakavu iliyopigwa msasa na rangi...
 
Hivi kipindi wanasema hayo hakukuwa na watu karibu wa kuwapiga mawe?
Waandishi wa habari nao ni mazuzu au bahasha wanazopewa zinawafanya wawe mazezeta, mara ya mwisho kumsikia mwandishi wa habari akiuliza swali la maana ilikuwa lini?
 
Back
Top Bottom