SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hivi vile vichwa vya treni vya kuokota huko bandari bado vinapatikana? Tumevimiss sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo kwa Mujibu wa TRC Ni Mabehewa ya safari ndefu yaani Kigoma na Mwanza 😆😆Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au nchi za wenzetu.
Haya mabehewa utaambiwa hayajawahi pata ajali na pia aliyekuwa anayatumia ni mwanamke tena bibi kizee.
Vichwa vyake kwenye matangazo utaona wameandika havijawahi shushwa engine. Limetembea kms chache yu 47,000 haijawahi gongwa. Unamwaga tu oil ,jino moja Msamvu hii hapa.
Jamaa wanasema hayo ya kizamani ni maalumu kwa ajili ya safari za mbali. Usiulize mbali wapi. Halafu yale ya kisasa yatakuwa yanapiga routes za hapa hapa town. Mbagala ,gongo lamboto, mwenge,Tegeta na Mabibo.
View attachment 2425959
Ulishawahi panda train za umemeHii ni post ya dalali wa hayo mabehewa.
Hizi ndio zilikuwa behewa kweli kutoka germeny na engine 88 au 89 canada, hizi toka miaka ya 80 zimetumika
Ulishawahi panda train za umeme
Nakuuliza maana unaongea sanaUnauliza au unapigia jibu mstari?
Nakuuliza maana unaongea sana
Wee mtoto huna adabu? Acha kuuliza uliza maswali sehemu wakubwa wamekaa.Ikiwa hizo bedford/leyland model ni kwa ajili ya masafa marefu (kigoma, mwanza) mbona yameletwa mapema sana kabla hata hiyo sgr hajafika huko?
Kinachogomba ni kuwa wanatakiwa wawe wakweliPesa yenu ndogo halafu mnataka treni za kifahari, ongezeni hela mchukue kitu pendolino cha muitaliano
Mkuu hawa watu ni mbumbumbu kweli kweli. Unaleta mabehewa wakati reli bado kabisa? Wana akili kweli hawa watu?Ikiwa hizo bedford/leyland model ni kwa ajili ya masafa marefu (kigoma, mwanza) mbona yameletwa mapema sana kabla hata hiyo sgr hajafika huko?
hata wao wanajua ni waongo wameshakula. Disaini hiyo ya mabehewa siyo ya masafa marefu ni kwa ajili ya masafa mafupi ya mjini. Miaka ya kati ya 2000 nilikuwa Brussells, nilikuta underground train zina mabehewa ya design hiyo.Mkuu hawa watu ni mbumbumbu kweli kweli. Unaleta mabehewa wakati reli bado kabisa? Wana akili kweli hawa watu?
sasa wazee mnapokula muwe mnajifunza kusema hata uongo ulionyooka. behewa za design hiyo ulaya hutumika mjini tu. ni za masafa mafupi ya mjini si safari ndefu.Wee mtoto huna adabu? Acha kuuliza uliza maswali sehemu wakubwa wamekaa.
Kuna siku inabidi kukamata mmoja valisha tairi mwagia petrol piga kiberiti ili iwe mfano.. jamaa washatuona sisi niwajinga sanaHivi kipindi wanasema hayo hakukuwa na watu karibu wa kuwapiga mawe?
Nipo hapa nimepanda navyoongea na weweNaongea sana maana nimewahi kupanda treni ya umeme. Ww usiyeongea sana umewahi kupanda?