Haya mabehewa TRC Wamezitolea ufafanuzi wa Kitaalamu kabisa

Haya mabehewa TRC Wamezitolea ufafanuzi wa Kitaalamu kabisa

Hivi, Mitun Chakrabot wa Ile movie ya kupatikana kwa MO , ndiye huyu huyu anataka kucheza na movie hii nayo? Maana haieleweki vizuri. .
 
View attachment 2426047Aje aangalie behewa hizi za SGR na behewa zilizoletwa
Ndio maana nikasema hayo mabehewa yaliyoletwa hayana sifa ya kusema eti ni ya treni ya mwendo kasi huo utakuwa ni utani,kichwa hiki ndicho cha treni ya mwendo kasi ambacho hakiendani na muundo wa mabehewa hayo.Inawezekana kabisa hata vichwa sio hivi .
 
Haya yanaitwa Vintage haha yaani Yale ya kizamani na yanapendwa na wale wanaopenda kununua vya zamani kama Ferrari ya 1920 hivi

Hata haya yanafanana na ya kwetu na yapo Birmingham yanauzwa
Wanipe route tu na mimi dar-Moro
Screenshot_20221124-112752_Google.jpg
 
Pesa yenu ndogo halafu mnataka treni za kifahari, ongezeni hela mchukue kitu pendolino cha muitaliano
 
Inshu sio eti kwa ndani yamekaaje!!vyombo hivyo hutengenezwa kulngana na spidi yake huwezi kuwa na behewa lenye pembe nne useme eti ni la treni ya mwendo kasi.wewe angalia vichwa tu vya treni za mwendo kasi vilivyo lazima viwe kama vya duara ili kuweza kupunguza ukinzani wa upepo.Labda ni kutokana na spidi yake ya km 160 /saa .Ndio maana wametumia hayo ila sasa kwanini walionyesha mengine leo yana kuja mengine?!!huu ujanja ujanja ndio huwa una leta maswali mengi,

Tunaelimishana, pembe nne utazipata kwenye haya matreni ya zaman ambayo yana gepu kati ya behewa na behewa. Treni ya mwendo kasi haitakiwi kuwa na gepu linalotenganisha mabehewa.
Hayo mabehewa bado hayajawa assembled, yakiunganishwa pembe nne inakuwa haina madhara kwa speed ya chombo kama kichwa kina umbo la curved, 160km/h ni speed ya kawaida tu mbona.
 
Haya mabehewa nlifanya tu uzembe ilikuwa niyapate kwa bei rahisi. Sema dalali naye alikuwa mzinguaji. Naangalia angalia tena kama ntakuta mtu anauza kwa bei ya chini na asiwe na tamaa. Maana haya dalali ghafla alipoona wamekuja watu wana dau la juu akanichinjia baharini. Usije ukawaamini madalali... Wapuuzi sana.
 
Kwani kiwanda cha FIAT bado kipo? maana inawezekana kampuni iliyounda hayo mabehewa ndo hiyo hiyo iliyounda yale malori ya FIAT, roho ya paka....
 
Inshu sio eti kwa ndani yamekaaje!!vyombo hivyo hutengenezwa kulngana na spidi yake huwezi kuwa na behewa lenye pembe nne useme eti ni la treni ya mwendo kasi.wewe angalia vichwa tu vya treni za mwendo kasi vilivyo lazima viwe kama vya duara ili kuweza kupunguza ukinzani wa upepo.Labda ni kutokana na spidi yake ya km 160 /saa .Ndio maana wametumia hayo ila sasa kwanini walionyesha mengine leo yana kuja mengine?!!huu ujanja ujanja ndio huwa una leta maswali mengi,
Je umewahi kuona mabehewa ya sgr ya Kenya Mbna yako HV HV ten zetu nzuri jaribu kutazama sgr ya Kenya na behewa lake
 
Serikali iache kutuona sisi wajinga, bila kumumunya tumepigwa na kitu kizito.
Mibehewa gani hio, unafika umechoka yaani ni msiba .
Aliyeturoga Tanzania sijui yuko wapi tukamuombe msamaha .
Naona hasara ya shirika

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa hizo bedford/leyland model ni kwa ajili ya masafa marefu (kigoma, mwanza) mbona yameletwa mapema sana kabla hata hiyo sgr hajafika huko?
Maarifa nowadays ni mengi sana ni ngumu kudanganya watu kabisa serikali janjajanja inapata shida sana. 🤣🤣😅😅😅
 
Wanapiga hela halafu wanakuja kuuana tu
Sijaona wakiwa na makampuni makubwa yanayojulikana kwa hela zinazopigwa bali huwa wanaishia kuhonga manyumba tu

Shit hole
 
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au nchi za wenzetu.

Haya mabehewa utaambiwa hayajawahi pata ajali na pia aliyekuwa anayatumia ni mwanamke tena bibi kizee.

Vichwa vyake kwenye matangazo utaona wameandika havijawahi shushwa engine. Limetembea kms chache yu 47,000 haijawahi gongwa. Unamwaga tu oil ,jino moja Msamvu hii hapa.

Jamaa wanasema hayo ya kizamani ni maalumu kwa ajili ya safari za mbali. Usiulize mbali wapi. Halafu yale ya kisasa yatakuwa yanapiga routes za hapa hapa town. Mbagala ,gongo lamboto, mwenge,Tegeta na Mabibo.

View attachment 2425959
Kwa hiyo ufafanuzi wa kitaalamu wanautolea tweeter..!! Tena ufafanuzi unaotoka kwa serikali yetu..!!
 
Back
Top Bottom