Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Nov 26, 2022 #81 sengobad said: Waandishi wa habari nao ni mazuzu au bahasha wanazopewa zinawafanya wawe mazezeta, mara ya mwisho kumsikia mwandishi wa habari akiuliza swali la maana ilikuwa lini? Click to expand... Hawa waandishi wa Habari njaa wanaopokea simu na kuandika wwnayoambiwa badala ya kufika kwenye tukio? Yaani hakuna watu bogus kama waandishi wetu ambao hata nje hawawezi kwenda wala kuwa na muwakilishi, sasa hapo unategemea nini
sengobad said: Waandishi wa habari nao ni mazuzu au bahasha wanazopewa zinawafanya wawe mazezeta, mara ya mwisho kumsikia mwandishi wa habari akiuliza swali la maana ilikuwa lini? Click to expand... Hawa waandishi wa Habari njaa wanaopokea simu na kuandika wwnayoambiwa badala ya kufika kwenye tukio? Yaani hakuna watu bogus kama waandishi wetu ambao hata nje hawawezi kwenda wala kuwa na muwakilishi, sasa hapo unategemea nini