Haya madini yanafanya kazi gani kubwa, mpaka kupewa thamani kubwa?

Haya madini yanafanya kazi gani kubwa, mpaka kupewa thamani kubwa?

Why Are Gold and Diamonds Valuable? Both gold and diamonds are valuable largely because they are exceedingly difficult to mine. They also each require skilled tradesmen in order to hone and create gorgeous jewelry and trinkets.
 
Why Are Gold and Diamonds Valuable? Both gold and diamonds are valuable largely because they are exceedingly difficult to mine. They also each require skilled tradesmen in order to hone and create gorgeous jewelry and trinkets.
Inaweza isiwe sababu ya msingi; inawezekana yana matumizi ya siri, ambayo hawataki ulimwengu wajue
 
Mleta mada kwanza unatakiwa ujue hakuna kitu kinauzwa ghali duniani kama urembo lakini pia ukizungumzia Alma's inamatumizi mengi zaidi kuliko madini Aina zote mfano tu huwezi kuchimba mafuta bila Alma's hata huko kwenye dhahabu na kwingine Alma's inatumika Sana hata matumizi madogo tu ya kukata vioo Alma's inatumika Sana na mengine megi tu
 
Why Are Gold and Diamonds Valuable? Both gold and diamonds are valuable largely because they are exceedingly difficult to mine. They also each require skilled tradesmen in order to hone and create gorgeous jewelry and trinkets.
Inaweza isiwe sababu ya msingi; inawezekana yana matumizi ya siri, ambayo hawataki ulimwengu wajue
 
Huwa najiuliza, haya madini kama: almasi, dhahabu, Tanzanite n.k ni kitu gani kinayapa thamani au yanafanya kazi gani kubwa yanayoendana na thamani ya mauzo?

Kwa ufahamu wangu mdogo, najua yanatumika kwa mapambo, kukatia vioo na miamba (almasi); lakini, kwa nini yanathaminishwa kwa gharama kubwa?

Au yana matumizi makubwa mengine yaliyojificha?

Ukiniuliza ni madini gani ningependa yawe na thamani kubwa kuliko dhahabu, almasi n.k, ningependekeza 'copper', 'aluminium', chuma n.k kwa sababu mahitaji na matumizi yake makubwa yanajulikana.

Wakuu, tujadili; kwa nini yanapewa thamani kubwa wakati yanafanya kazi za kawaida sana.​
Dhahabu ndio madini hapo ila almasi, lulu (tanzanite) sio madini ila ni mawe ya thamani. Almasi ukiacha urembo hutumika kama kichwa katika mashine ya kutobolea miamba migumu.

Tanzanite ni jiwe tu la urembo huwekwa kama nakshi kwenye vidani, pete, crown [emoji146] za ufalme, na hata samani za ndani etcs.

Ila dhahabu, shaba, copper, chuma, etc haya ni madini yenye thamani zaidi kupita maelezo sababu yanamatumizi makubwa sana ya kiuchumi.

Kwasababu umetaja gold nitakusaidia kujua umuhimu wake. Gold hutumika katika utengenezaji wa simu, electronics mbali mbali kama computer, TV especially hizi za kisasa, vifaa vya kuendea nje ya dunia, robots za viwandani, urembo, lakini pia ni madini yenye stable value na huweza kutumika kama mbadala wa US dollar kwenye reserve ya bank kuu.

Ndio maana US akijua una reserve kubwa ya gold kama ya Gaddafi au Saddam's Hussein lazima aje akuuwe na kuichukua.

So katika yote umetaja hapo dhahabu ni namba moja kwa thamani kuliko yote sababu ina matumizi mengi sana.

Kwa taarifa zaidi nenda mtandaoni utalekezwa zaidi.
 
Mi mwenyewe sijui kwa nini baadhi ya madini hasa ya vito yana bei kubwa sana wakati yanatumika kwa mapambo tu. Dhahabu ndo inachimbwa kwa gharama kubwa ili asilimia karibu 80 ikahifadhiwe tena kwenye vaults za mabenki. Yaani ukachimbe kitu kilikuwa kimehifadhiwa ardhini ili ukakitunze bank. Ila pia ni bora vitu vyenye uhitaji wa lazima vina thamani ndogo. Hivi gram 1 ya sembe ingeuzwa 130,000 tungetoboa?
 
Inaweza isiwe sababu ya msingi; inawezekana yana matumizi ya siri, ambayo hawataki ulimwengu wajue
Sure kuna mtu aliwai kuniuliza hilo swali nikashindwa kumjibu.

Labda mimi ninahisi ni kitu kilichokubaliwa kupewa tu thamani ili kitumike tu kama means ya utajiri.

Ni kama tu hela ilivyo karatasi lakini watu wamekubaliana kulipa thamani ilo likaratasi
 
Kuna Gold, Oil and Diamond 💎 💍 (God), kuna Gas ⛽️ mrusi Ana maliza wenzie kisa gas, kuna Uranium kwa ajili ya mavitu kama silaha za maangamizi, mataifa makubwa yanatumia sana

Kuna madini yana we kwa katika vifaa kama simu, saa etc na madini kama Almas na Quartz yana tumika sana

Hivyo matumizi yana sababisha gharama yake kuwa kubwa pamoja upatikanaji

Madini kama mchanga, mawe tuna yatumia sana lakini hayana gharama ktk baadhi ya maeneo au nchi

Mfano zenji mchanga kwao ni dili... kuchimba hovyo kuna hatarisha kisiwa
 
Hiyo simu unayotumia hapo Ina camera nzuri sana, unaona raaaha inavyotoa picha nzuri eeh, ni madini hayo
 

Top 5 uses for gold​


1) Wealth protection and a financial exchange

One of the oldest uses of gold is for coins, and other financial assets. Purchased by governments, central banks, financial institutions and private investors, gold is used as a physical store of wealth. The rarity of the yellow metal has helped maintain its value throughout the ages. Golds ability to maintain value while other assets are dropping means it is stored, as pure gold bars and coins, in huge vaults – or under floorboards – for its investment value alone.

The exact amount of gold bullion held for investment purposes is difficult to put an exact figure on. As well as national reserves, individuals can also own investment bullion. It is believed that the US holds the largest reserves but there has not been a physical full audit since Eisenhower’s time in the 1950s. Germany is believed to have the second largest reserves but both Russia and China are adding to their stockpiles at an increasing rate.

For a breakdown of the top ten countries with the highest gold reserves, click here.

2) Jewellery, adornments and medals

Jewellery, and other decorative gold products, account for the largest global use of gold. China and India are the two largest consumers, taking over half of all global production in 2018. In that year, over 1,200 tonnes of gold were consumed for jewellery in China, and over 500 tonnes in India. Whilst no doubt admiring the beauty and prestige of gold jewellery, many of these buyers will also have an eye to its investment value.

This precious metal has historically been used as a symbol of luxury, superiority and wealth. Besides jewellery, gold is used to increase the value of a huge range of decorative items, such as medals and badges. Goldleaf has traditionally enhanced artworks and, recently, artist Maurizio Cattelan has even exhibited a gold toilet in the Guggenheim museum in New York!

3) Electronics

Gold does not corrode, is a great conductor of electricity, and is highly resistant to heat. Physically, it is a soft, pliable metal and can be easily stretched or plated into thin coatings. For these reasons, gold is perfect to use in electronics, particularly for cables and connectors. With consumer technology growing annually, there is increasing demand from the electronics industry, particularly in cell phones. In 2018, electronics consumed over 1,400 tonnes of gold, and in 2017, it accounted for 34% of gold used in the US.

4) Space exploration

Closely allied with electronic uses, space exploration and satellites are another growing consumer of gold. Besides the numerous electronic components, thin coatings of the metal are used in for shields and visors, and golds dependability is essential for the high-risk situation of space travel and exploration.

Gold particles reflect infrared radiation from the sun, helping to keep temperatures down on darker panels and visors. Gold can also be used as a lubricant, and the volatility of organic lubricants makes them unsuitable to the extreme temperature ranges and high radiation of space.

5) Medicine and dentistry

Because it is non-reactive and non-toxic, gold has for many years been used in dentistry and medicine. New applications are being discovered every year, for example in prosthesis, where longevity is essential. Small amounts of gold are also injected as a treatment for Rheumatoid arthritis and muscle damage, and micro-particles are being used in the treatment of some cancers. Gold has even been used in Covid tests!
 
Dhahabu ndio madini hapo ila almasi, lulu (tanzanite) sio madini ila ni mawe ya thamani. Almasi ukiacha urembo hutumika kama kichwa katika mashine ya kutobolea miamba migumu.

Tanzanite ni jiwe tu la urembo huwekwa kama nakshi kwenye vidani, pete, crown [emoji146] za ufalme, na hata samani za ndani etcs.

Ila dhahabu, shaba, copper, chuma, etc haya ni madini yenye thamani zaidi kupita maelezo sababu yanamatumizi makubwa sana ya kiuchumi.

Kwasababu umetaja gold nitakusaidia kujua umuhimu wake. Gold hutumika katika utengenezaji wa simu, electronics mbali mbali kama computer, TV especially hizi za kisasa, vifaa vya kuendea nje ya dunia, robots za viwandani, urembo, lakini pia ni madini yenye stable value na huweza kutumika kama mbadala wa US dollar kwenye reserve ya bank kuu.

Ndio maana US akijua una reserve kubwa ya gold kama ya Gaddafi au Saddam's Hussein lazima aje akuuwe na kuichukua.

So katika yote umetaja hapo dhahabu ni namba moja kwa thamani kuliko yote sababu ina matumizi mengi sana.

Kwa taarifa zaidi nenda mtandaoni utalekezwa zaidi.
Bila dhahabu High-tech haipo. Bila Diamond precision work hazipo,
 

4) Space exploration​


Closely allied with electronic uses, space exploration and satellites are another growing consumer of gold. Besides the numerous electronic components, thin coatings of the metal are used in for shields and visors, and golds dependability is essential for the high-risk situation of space travel and exploration.

Gold particles reflect infrared radiation from the sun, helping to keep temperatures down on darker panels and visors. Gold can also be used as a lubricant, and the volatility of organic lubricants makes them unsuitable to the extreme temperature ranges and high radiation of space.
Hii inaweza kuwa sababu
 
Kuna familia ya wayaudi fulani ndio wanamiliki hayo madini duniani,wao ndio hupanga bei za hayo nadini,hasa gold na diamond,waliwahi kumiliki share pale mwadui gold mine.
Kwa ufupi madini hayo hayana cha maana zaidi ni dili la hao wayahudi
 
Back
Top Bottom