Haya madini yanafanya kazi gani kubwa, mpaka kupewa thamani kubwa?

Haya madini yanafanya kazi gani kubwa, mpaka kupewa thamani kubwa?

Technologies ya kutengeneza vifaa kwenda airspace huko, hayo madini yanatumika sana.

Pia kuna viumbe wanafanya biashara za hayo madini na binadamu kwenda kuziba space yao ilioharibika na kuathirika sana na joto.
 
Dhahabu ndio madini hapo ila almasi, lulu (tanzanite) sio madini ila ni mawe ya thamani. Almasi ukiacha urembo hutumika kama kichwa katika mashine ya kutobolea miamba migumu.

Tanzanite ni jiwe tu la urembo huwekwa kama nakshi kwenye vidani, pete, crown [emoji146] za ufalme, na hata samani za ndani etcs.

Ila dhahabu, shaba, copper, chuma, etc haya ni madini yenye thamani zaidi kupita maelezo sababu yanamatumizi makubwa sana ya kiuchumi.

Kwasababu umetaja gold nitakusaidia kujua umuhimu wake. Gold hutumika katika utengenezaji wa simu, electronics mbali mbali kama computer, TV especially hizi za kisasa, vifaa vya kuendea nje ya dunia, robots za viwandani, urembo, lakini pia ni madini yenye stable value na huweza kutumika kama mbadala wa US dollar kwenye reserve ya bank kuu.

Ndio maana US akijua una reserve kubwa ya gold kama ya Gaddafi au Saddam's Hussein lazima aje akuuwe na kuichukua.

So katika yote umetaja hapo dhahabu ni namba moja kwa thamani kuliko yote sababu ina matumizi mengi sana.

Kwa taarifa zaidi nenda mtandaoni utalekezwa zaidi.
Kumbuka thaman yake ilikuwa kubwa kabl ya uzinduz au mapinduzi ya teknolojia, toks zama za mitume madini hayo (dhahabu) yalikuwa na thamani,hizi electronics zimekuja jana tu,nn kinaipa thamani?? Bado jibu halijajitosheleza!!
 
Sure kuna mtu aliwai kuniuliza hilo swali nikashindwa kumjibu.

Labda mimi ninahisi ni kitu kilichokubaliwa kupewa tu thamani ili kitumike tu kama means ya utajiri.

Ni kama tu hela ilivyo karatasi lakini watu wamekubaliana kulipa thamani ilo likaratasi
Hela sio karatasi ni kitambaa kile
 
Hasa ni juu ya technologies, Devices nyingi wanaunda kwa madini ndani yake
 
hayo madini na mawe uliyoyataja yana thamani kubwa sababu ni moja,yana kazi nyingi lakini upatikanaji wake ni mgumu sana.

leo hii dhahabu ingekuwa inapatikana kwa urahisi kama chuma ingesaidia kazi nyingi sana maana ni muhimu mno,inapitisha umeme wa ufanisi wa juu kabisa kuliko metal yoyote ulimwenguni ndio sababu sakiti za vifaa vya umeme kumewekwa michirizi ya dhahabu tupi nyuma.inatumika kwa urembo.

leo hii almasi ingekuwa inapatikan kama chuma ingesaidia kazi nyingi,almasi ndio jiwe gumu kuliko yote duniani,hata kuchubuka mpaka almasi nyingine itumike,urembo pia almas hutumika,na kutumika kukatia metal nyingine na uchimbaji wa mafuta.

kinachofanya almasi kuachwa kwenye viwango vya thamani na dhahabu sababu hakuna dhahabu tofauti,ila kuna almasi ya blue,pink,nyeupe nk na kutoa dhamani tunaangalia nyufa na aina ya almasi katika jiwe husika,ila dhahabu hakunaga hizi mambo ukiwa nayo ni dhahabu ile ile.
 
Huwa najiuliza, haya madini kama: almasi, dhahabu, Tanzanite n.k ni kitu gani kinayapa thamani au yanafanya kazi gani kubwa yanayoendana na thamani ya mauzo?

Kwa ufahamu wangu mdogo, najua yanatumika kwa mapambo, kukatia vioo na miamba (almasi); lakini, kwa nini yanathaminishwa kwa gharama kubwa?

Au yana matumizi makubwa mengine yaliyojificha?

Ukiniuliza ni madini gani ningependa yawe na thamani kubwa kuliko dhahabu, almasi n.k, ningependekeza 'copper', 'aluminium', chuma n.k kwa sababu mahitaji na matumizi yake makubwa yanajulikana.

Wakuu, tujadili; kwa nini yanapewa thamani kubwa wakati yanafanya kazi za kawaida sana.
Mbona majibu unayo, hebu jiulize kwanini demu mwenye mgongo wanaume wanampigania? Natumai sasa majibu unayo na utafuta Uzi ili tuendelee na mambo ya msingi kama vile kupambana na Tembo kula mazo kwa kutumia pilipili mbuzi au nyuki, nk
 
Dhahabu ndio madini hapo ila almasi, lulu (tanzanite) sio madini ila ni mawe ya thamani. Almasi ukiacha urembo hutumika kama kichwa katika mashine ya kutobolea miamba migumu.

Tanzanite ni jiwe tu la urembo huwekwa kama nakshi kwenye vidani, pete, crown [emoji146] za ufalme, na hata samani za ndani etcs.

Ila dhahabu, shaba, copper, chuma, etc haya ni madini yenye thamani zaidi kupita maelezo sababu yanamatumizi makubwa sana ya kiuchumi.

Kwasababu umetaja gold nitakusaidia kujua umuhimu wake. Gold hutumika katika utengenezaji wa simu, electronics mbali mbali kama computer, TV especially hizi za kisasa, vifaa vya kuendea nje ya dunia, robots za viwandani, urembo, lakini pia ni madini yenye stable value na huweza kutumika kama mbadala wa US dollar kwenye reserve ya bank kuu.

Ndio maana US akijua una reserve kubwa ya gold kama ya Gaddafi au Saddam's Hussein lazima aje akuuwe na kuichukua.

So katika yote umetaja hapo dhahabu ni namba moja kwa thamani kuliko yote sababu ina matumizi mengi sana.

Kwa taarifa zaidi nenda mtandaoni utalekezwa zaidi.

".....Ndio maana US akijua una reserve kubwa ya gold kama ya Gaddafi au Saddam's Hussein lazima aje akuuwe na kuichukua...."

Umesoma kwenye uzi ukahisi wengi watakuwa vilaza ukaona ujiongeze kutaka kupotosha watu... UMEANDIKA UONGO WA SGR
 
Dhahabu ndio madini hapo ila almasi, lulu (tanzanite) sio madini ila ni mawe ya thamani. Almasi ukiacha urembo hutumika kama kichwa katika mashine ya kutobolea miamba migumu.

Tanzanite ni jiwe tu la urembo huwekwa kama nakshi kwenye vidani, pete, crown [emoji146] za ufalme, na hata samani za ndani etcs.

Ila dhahabu, shaba, copper, chuma, etc haya ni madini yenye thamani zaidi kupita maelezo sababu yanamatumizi makubwa sana ya kiuchumi.

Kwasababu umetaja gold nitakusaidia kujua umuhimu wake. Gold hutumika katika utengenezaji wa simu, electronics mbali mbali kama computer, TV especially hizi za kisasa, vifaa vya kuendea nje ya dunia, robots za viwandani, urembo, lakini pia ni madini yenye stable value na huweza kutumika kama mbadala wa US dollar kwenye reserve ya bank kuu.

Ndio maana US akijua una reserve kubwa ya gold kama ya Gaddafi au Saddam's Hussein lazima aje akuuwe na kuichukua.

So katika yote umetaja hapo dhahabu ni namba moja kwa thamani kuliko yote sababu ina matumizi mengi sana.

Kwa taarifa zaidi nenda mtandaoni utalekezwa zaidi.
You're absolutely right...Naunga hoja
 
Back
Top Bottom