Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Hizo Kawasaki na hizo Ducati zina compete na gari kama Lambo, GTR Nissan , Ferrari n.k na tena hizo super cars na sports car ziwe na mwendo haswa au imefanyika tuning kwenye engine ...Niliona miamba miwili inayo imepangana Kahama-Tinde Road, madude yanatisha sana kwa muungurumo wake na kwenye kona zile circular jamaa walikuwa wanalala nayo kinyama sana.
Kuna mwamba mmoja kwenye uzi wa madude kama alisema wenye crown, ist and co wanapisha, siku nilimkumbuka na kuamini maneno yake japo inaweza isiwe kiuhalisia kivile ila akisikia na kuona hilo dude lazima atulie upande wake ili dude lipite.
Tatizo bei tu.
Sijawah kuyaona ila arusha unaweza kupHatari
Niliona miamba miwili inayo imepangana Kahama-Tinde Road, madude yanatisha sana kwa muungurumo wake na kwenye kona zile circular jamaa walikuwa wanalala nayo kinyama sana.
Kuna mwamba mmoja kwenye uzi wa madude kama alisema wenye crown, ist and co wanapisha, siku nilimkumbuka na kuamini maneno yake japo inaweza isiwe kiuhalisia kivile ila akisikia na kuona hilo dude lazima atulie upande wake ili dude lipite.
Tatizo bei tu.
Hio kawasaki ni jet si pikipiki .. naona hizi machines si kwa beginners au average .. hizi ni kwa ajili ya Pro ...Nimeona baba lao hapo
Kawasaki acha kabisa
Hizo Kawasaki na hizo Ducati zina compete na gari kama Lambo, GTR Nissan , Ferrari n.k na tena hizo super cars na sports car ziwe na mwendo haswa au imefanyika tuning kwenye engine ...
Crown, subaru hata iwe tuned hazifiati huo moto ... Huo ni moto wa gas ...
Kwa kweli huyu jamaa ana utani na watu wa mwanza, kama baiskeli tu za mashindano wanaenda na zile Avon, na Swala sasa itakuwaje hayo madude🤣🤣Mwanza watayajulia wapi jamani, mbona uchokozi?!🤣
Sijawah kuyaona ila arusha unaweza kupata
Nimeenda mara kadhaa kwenye mashindano ya haya madude Silverstone 🇬🇧Hizo Kawasaki na hizo Ducati zina compete na gari kama Lambo, GTR Nissan , Ferrari n.k na tena hizo super cars na sports car ziwe na mwendo haswa au imefanyika tuning kwenye engine ...
Crown, subaru hata iwe tuned hazifiati huo moto ... Huo ni moto wa gas ...
Kweli kabisa bossHio kawasaki ni jet si pikipiki .. naona hizi machines si kwa beginners au average .. hizi ni kwa ajili ya Pro ...
Kabisa mkuu, pikipiki zina muonekano aggressive sana, hata upewe bure utaishia kuliuza... Yanaogofya..Nimeenda mara kadhaa kwenye mashindano ya haya madude Silverstone 🇬🇧
Ni balaa kusema la haki huwa napenda sana kuangalia mziki wao huo ila sio mpenzi wa kuyaendesha maana yanatisha hashwa
Kwa mfano Kawasaki H2R Speed zake ni 380km/ saa
Hiyo ni 240 miles/ hr
Yaani ni raha kuzianfalia tu