Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

Kuna yule Mganda sijui mwezi fulani hivi walikuwa wanamposti posti sana alikuwa anaendesha aya madubwana kwenye mashindano jamaa limwili limepanda sio powa
 

Attachments

  • FB_IMG_1734548682534.jpg
    FB_IMG_1734548682534.jpg
    100.3 KB · Views: 3
Mzee wa mabasi ya sauli marehemu mwalabhila alimiliki haya madude.

Nimeenda mara kadhaa kwenye mashindano ya haya madude Silverstone 🇬🇧
Ni balaa kusema la haki huwa napenda sana kuangalia mziki wao huo ila sio mpenzi wa kuyaendesha maana yanatisha hashwa
Kwa mfano Kawasaki H2R Speed zake ni 380km/ saa
Hiyo ni 240 miles/ hr
Yaani ni raha kuziangalia tu
 

Attachments

  • FB_IMG_1734582472268.jpg
    FB_IMG_1734582472268.jpg
    107.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom