Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

Nilikuwanayo mawili. Siku moja nikachukua moja Mwanza to Songea, kijiji fulani kinaitwa Mpepai. Nilitoka Mkuyuni, Mwanza saa 2:00 asubuhi, saa 7:07 mchana, siku hiyohiyo nilikuwa Mpepai Songea sometimes iko Mbinga. Wakati naondoka Mkuyuni pale watu walikuwa wamekusanyika barabarani, wananishangilia. Nilivyofika Mpepai, Songea, watu wote/wanakijiji walisujudu wakajua mimi ndiye ajaye. Nikawaambia 'acheni ujinga', nikawaambia wachangie hela ya mafuta, wakanichangia kama milioni sita. Ulikuwa ni msimu wa mavuno, nikasepa. Nilifika Mkuyuni saa 12:08 jioni siku hiyohiyyo.
 
Nilikuwanayo mawili. Siku moja nikachukua moja Mwanza to Songea, kijiji fulani kinaitwa Mpepai. Nilitoka Mkuyuni, Mwanza saa 2:00 asubuhi, saa 7:07 mchana, siku hiyohiyo nilikuwa Mpepai Songea sometimes iko Mbinga. Wakati naondoka Mkuyuni pale watu walikuwa wamekusanyika barabarani, wananishangilia. Nilivyofika Mpepai, Songea, watu wote/wanakijiji walisujudu wakajua mimi ndiye ajaye. Nikawaambia 'acheni ujinga', nikawaambia wachangie hela ya mafuta, wakanichangia kama milioni sita. Ulikuwa ni msimu wa mavuno, nikasepa. Nilifika Mkuyuni saa 12:08 jioni siku hiyohiyyo.
Kwa barabara ipi?
Tz hakuna barabara ya kuendesha kwa speed hiyo
 
Nilikuwanayo mawili. Siku moja nikachukua moja Mwanza to Songea, kijiji fulani kinaitwa Mpepai. Nilitoka Mkuyuni, Mwanza saa 2:00 asubuhi, saa 7:07 mchana, siku hiyohiyo nilikuwa Mpepai Songea sometimes iko Mbinga. Wakati naondoka Mkuyuni pale watu walikuwa wamekusanyika barabarani, wananishangilia. Nilivyofika Mpepai, Songea, watu wote/wanakijiji walisujudu wakajua mimi ndiye ajaye. Nikawaambia 'acheni ujinga', nikawaambia wachangie hela ya mafuta, wakanichangia kama milioni sita. Ulikuwa ni msimu wa mavuno, nikasepa. Nilifika Mkuyuni saa 12:08 jioni siku hiyohiyyo.
Haiwezekani hata.
 
IMG_3648.jpg

IMG_3647.jpg

IMG_3646.jpg

Ducati 899 panigale
 
Hayo madude siyajui kabisa..... Wanaume Wana vitu vya ajabu eti hilo la kuendea kwenye mazoezi ya basketball nilipanda siku moja mpaka tunafika presha ilikua juu hatari!!!! Likilalaaaa napiga yowe mwenyewe anakwambia umeona chuma ya mwanaume hiii.
 

Attachments

  • FB_IMG_1734632910022.jpg
    FB_IMG_1734632910022.jpg
    71.4 KB · Views: 1
Hizo zimekaa kimama mama ikianguka hizo plastic zote zinapasukapasuka.

Chukua vyuma kama hivi
View attachment 3179442

View attachment 3179443
Hii chuma unakaa umerelax ukuanguka au kutereza kwenye kona barabara ya vumbi unakuwa umejitakia mwenyewe

View attachment 3179444
Mzee hio pikipiki ya mwisho nimenyoosha mikono, nimeangalia nikaona radiator kwa nyuma naona engine ni 3 cylinders, nikasema ngoja nifuatilie ..

Naona ina 2500 cc na radiator, pistons 3 na inatumia maji ku cool engine, horsepower ni 165 na torque ya kufa mtu....

Hio naona si pikipiki.... Balaa mzee 2500 cc bongo mtu analia mafuta ..
 
Nilikuwanayo mawili. Siku moja nikachukua moja Mwanza to Songea, kijiji fulani kinaitwa Mpepai. Nilitoka Mkuyuni, Mwanza saa 2:00 asubuhi, saa 7:07 mchana, siku hiyohiyo nilikuwa Mpepai Songea sometimes iko Mbinga. Wakati naondoka Mkuyuni pale watu walikuwa wamekusanyika barabarani, wananishangilia. Nilivyofika Mpepai, Songea, watu wote/wanakijiji walisujudu wakajua mimi ndiye ajaye. Nikawaambia 'acheni ujinga', nikawaambia wachangie hela ya mafuta, wakanichangia kama milioni sita. Ulikuwa ni msimu wa mavuno, nikasepa. Nilifika Mkuyuni saa 12:08 jioni siku hiyohiyyo.
Ulikuwa nayo mawili.

Kwa sasa yapo wapi?
 
Mzee hio pikipiki ya mwisho nimenyoosha mikono, nimeangalia nikaona radiator kwa nyuma naona engine ni 3 cylinders, nikasema ngoja nifuatilie ..

Naona ina 2500 cc na radiator, pistons 3 na inatumia maji ku cool engine, horsepower ni 165 na torque ya kufa mtu....

Hio naona si pikipiki.... Balaa mzee 2500 cc bongo mtu analia mafuta ..
 

Attachments

  • FB_IMG_1734774052464.jpg
    FB_IMG_1734774052464.jpg
    92.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom