Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

Kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi
Alikuwa na Suzuki Bandit 1200cc
Basi siku moja nikamwambia hebu nibebe na kuendesha mita 100 tu mpaka paleee
Loo salaleee nilitaka kuruka kwa speed alioondoka nayo
Nilikoma sintapanda tena
Labda Vespa 😄
 
Niliona miamba miwili inayo imepangana Kahama-Tinde Road, madude yanatisha sana kwa muungurumo wake na kwenye kona zile circular jamaa walikuwa wanalala nayo kinyama sana.

Kuna mwamba mmoja kwenye uzi wa madude kama alisema wenye crown, ist and co wanapisha, siku nilimkumbuka na kuamini maneno yake japo inaweza isiwe kiuhalisia kivile ila akisikia na kuona hilo dude lazima atulie upande wake ili dude lipite.

Tatizo bei tu.
Mzee hebu zama youtube uone Kawasaki Ninja inashindanishwa na vitu gani. Ni jet na lamborghini sio hivyo vitakataka unavyovitaja eti crown 😀
 

Attachments

  • FB_IMG_1734531506378.jpg
    FB_IMG_1734531506378.jpg
    68.3 KB · Views: 1
Kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi
Alikuwa na Suzuki Bandit 1200cc
Basi siku moja nikamwambia hebu nibebe na kuendesha mita 100 tu mpaka paleee
Loo salaleee nilitaka kuruka kwa speed alioondoka nayo
Nilikoma sintapanda tena
Labda Vespa 😄
 

Attachments

  • FB_IMG_1734522166157.jpg
    FB_IMG_1734522166157.jpg
    72.9 KB · Views: 1
Niliona miamba miwili inayo imepangana Kahama-Tinde Road, madude yanatisha sana kwa muungurumo wake na kwenye kona zile circular jamaa walikuwa wanalala nayo kinyama sana.

Kuna mwamba mmoja kwenye uzi wa madude kama alisema wenye crown, ist and co wanapisha, siku nilimkumbuka na kuamini maneno yake japo inaweza isiwe kiuhalisia kivile ila akisikia na kuona hilo dude lazima atulie upande wake ili dude lipite.

Tatizo bei tu.
Mkuu huu ni ulevi wangu tatizo pa kuyapata
 
Hayo madude, nilishayaona sana Tanga yakiendeshwa na Kuna jamaa nawafahamu wanayo Yard tu yametulia, watoto Fulani hivi watz wenye asili ya Asia. Sikuwahi kuwauliza lakini nadhani waliagiza nje Kwa ndugu zao. Hayo madude sishauri mtu ayaparamie kuyaendesha kama kichwa chake hakipo vizuri, ni kama unapaa Sasa na bangi za sisi vijana unapasua kichwa, ni Bora kuanza nalo Kwa tahadhari.
 
Hayo madude, nilishayaona sana Tanga yakiendeshwa na Kuna jamaa nawafahamu wanayo Yard tu yametulia, watoto Fulani hivi watz wenye asili ya Asia. Sikuwahi kuwauliza lakini nadhani waliagiza nje Kwa ndugu zao. Hayo madude sishauri mtu ayaparamie kuyaendesha kama kichwa chake hakipo vizuri, ni kama unapaa Sasa na bangi za sisi vijana unapasua kichwa, ni Bora kuanza nalo Kwa tahadhari.
 

Attachments

  • FB_IMG_1734543099063.jpg
    FB_IMG_1734543099063.jpg
    89 KB · Views: 1
Back
Top Bottom