Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi
Alikuwa na Suzuki Bandit 1200cc
Basi siku moja nikamwambia hebu nibebe na kuendesha mita 100 tu mpaka paleee
Loo salaleee nilitaka kuruka kwa speed alioondoka nayo
Nilikoma sintapanda tena
Labda Vespa 😄
Alikuwa na Suzuki Bandit 1200cc
Basi siku moja nikamwambia hebu nibebe na kuendesha mita 100 tu mpaka paleee
Loo salaleee nilitaka kuruka kwa speed alioondoka nayo
Nilikoma sintapanda tena
Labda Vespa 😄