Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Muendesha boda hizi sanlg na tvs hio pikipiki ukimpa siku nzima aendeshe kama hatonjika mguu basi ni kifo...Kweli kabisa boss
Hizi ni kanzia 1000cc
Sio sanlg 125cc π π€£
Ila zinataka nidhamu sana hizi na ndio maana unaona hata wanaoendesha hizo kubwa wanaziheshimu sana
Mzee hebu zama youtube uone Kawasaki Ninja inashindanishwa na vitu gani. Ni jet na lamborghini sio hivyo vitakataka unavyovitaja eti crown πNiliona miamba miwili inayo imepangana Kahama-Tinde Road, madude yanatisha sana kwa muungurumo wake na kwenye kona zile circular jamaa walikuwa wanalala nayo kinyama sana.
Kuna mwamba mmoja kwenye uzi wa madude kama alisema wenye crown, ist and co wanapisha, siku nilimkumbuka na kuamini maneno yake japo inaweza isiwe kiuhalisia kivile ila akisikia na kuona hilo dude lazima atulie upande wake ili dude lipite.
Tatizo bei tu.
Sijawah kuyaona ila arusha unaweza kupata
Muendesha boda hizi sanlg na tvs hio pikipiki ukimpa siku nzima aendeshe kama hatonjika mguu basi ni kifo...
Kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi
Alikuwa na Suzuki Bandit 1200cc
Basi siku moja nikamwambia hebu nibebe na kuendesha mita 100 tu mpaka paleee
Loo salaleee nilitaka kuruka kwa speed alioondoka nayo
Nilikoma sintapanda tena
Labda Vespa π
Mkuu huu ni ulevi wangu tatizo pa kuyapataNiliona miamba miwili inayo imepangana Kahama-Tinde Road, madude yanatisha sana kwa muungurumo wake na kwenye kona zile circular jamaa walikuwa wanalala nayo kinyama sana.
Kuna mwamba mmoja kwenye uzi wa madude kama alisema wenye crown, ist and co wanapisha, siku nilimkumbuka na kuamini maneno yake japo inaweza isiwe kiuhalisia kivile ila akisikia na kuona hilo dude lazima atulie upande wake ili dude lipite.
Tatizo bei tu.
Bei za ivyo vyuma 20+
Agiza direct kutoka japan bossMkuu huu ni ulevi wangu tatizo pa kuyapata
Aisee! Umesema kweli, ni madubwasha.Watu wa Mwanza haya madubwasha nitayapata Kwa dealer yupi hata kama ni used?
Aisee! Umesema kweli, ni madubwasha.
Bei elekezi mkuuKama uko serious nicheki,ingawa hazipo Tz,ila kama unahitaji nakuletea.View attachment 3179683
View attachment 3179684
View attachment 3179685
Hayo madude, nilishayaona sana Tanga yakiendeshwa na Kuna jamaa nawafahamu wanayo Yard tu yametulia, watoto Fulani hivi watz wenye asili ya Asia. Sikuwahi kuwauliza lakini nadhani waliagiza nje Kwa ndugu zao. Hayo madude sishauri mtu ayaparamie kuyaendesha kama kichwa chake hakipo vizuri, ni kama unapaa Sasa na bangi za sisi vijana unapasua kichwa, ni Bora kuanza nalo Kwa tahadhari.
Mzee hebu zama youtube uone Kawasaki Ninja inashindanishwa na vitu gani. Ni jet na lamborghini sio hivyo vitakataka unavyovitaja eti crown π
Sijawah kuyaona ila arusha unaweza kupata
Hakuna wanunuzi sana sana mtapasuana Acha waendelee kutumia mchinaSIjajua kwann hakuna showroom za hivi vitu π₯