Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

Tabia za kishirikina toka zako.🀣

Niwekee kidebe cha mahindi ya kuchoma nakuja kula, na mchele nitengezee mabumunda...πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kula ni uhai....
 
Niwekee kidebe cha mahindi ya kuchoma nakuja kula, na mchele nitengezee mabumunda...πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kula ni uhai....
Mashamba yamejaa maji hatari ila kidebe utapata.
Kulana ni uhai kwakweli hujakosea 🀣
 
Mashamba yamejaa maji hatari ila kidebe utapata.
Kulana ni uhai kwakweli hujakosea 🀣


Aahahahahahahaaa

Kwa mwenendo huu kijana wa kuukumbatia uhai utaufikia uzee kama wangu kweli...!!!?????🀣🀣🀣🀣🀣

Wenzako enzi za ujana wetu tulikuwa tunajibana, bora kupoteza uhai kwa njaa kuliko kuukumbatia kwa kula na ndio maana unatuona hadi leo tunagoga na ugagula wetu....🀣🀣🀣🀣

Seeengeeerii kweli kweli wewee.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka kama lafa....🀣🀣🀣🀣🀣

......eti .......ni uhai aahahahahahaaaa looh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…