Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

hivi usalama wa Taifa akiwa rafiki yako anaweza akakupa na stori za kazini kwake?
Ile dhana ya usalama wa Taifa ni siri ina ukweli kiasi gani mkuu?
Usalama wa Taifa zamani sio zama hizi.

Mimi nawajua 3. Mmoja yuko ubalozini nje ya nchi kwa contract ya miaka kadhaa, wawili wako hapa nyumbani. Yani tunapiga stori nyingi sana mkuu, ni vile nimetoka nao mbali.

Niliwahi kukamatwa barabara ya Sam Nujoma nikiwa tungi asubuhi, nikamtukana traffic, wakanipeleka kituoni, nikampigia huyo jamaa, aisee mkuu wa kituo ndio akaja kunitoa, nakumbuka aliniuliza, vipi hawajakuumiza? [emoji28]

Kama haitoshi akanipeleka police mess nikanywa na supu kwa bill ya OCS [emoji1]
 
Ni siri sababu hawavai unifomu rasmi. Ila mwenyewe anaweza akakwambia.au kuambiwa na watu wake wa karibu. Ila wanajulikana
Sasa kuna siri gani kama Yeye anakuambia?
Unajua kuna askari mmoja alikuwa na mtoti wake wakike akawa ameenda mafunzo wakakaa uko baadae wakaambiwa hakuna kazi hivyo wanaohitaji kubaki waendelee kujitolea ila kama uwezi nenda. Yule dada akaona kurudi hata akaenda kukaa.

Wakachukuliwa wakapelekwa Znz. Sasa kaka yake wa damu kabisa ndio akawa anatupa stori. Anasema nimekutana na fulani lakini kanikana kabisa anifahamu akawa analalamika kajisikia vbaya. Kaka yake akawa anasema alipta nafasi ya kuingia TISS.

ila huwa akirudigi kaka yake akimkumbusha lile tukio anakataa na anasema mimi sifanyi hiyo kazi nina mishe zangu tu nyingine. Ila kabadilika sana kuanzia kula, mikao , ongea kila kitu.
Ndio maana nimeshangaa jamaa anavyotoa siri kirahisi kwa rafiki yake huwa mara Nyingi tunahisi hisi
 
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.

Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.

Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Wasiojulikana
 
Sasa kuna siri gani kama Yeye anakuambia?
Unajua kuna askari mmoja alikuwa na mtoti wake wakike akawa ameenda mafunzo wakakaa uko baadae wakaambiwa hakuna kazi hivyo wanaohitaji kubaki waendelee kujitolea ila kama uwezi nenda. Yule dada akaona kurudi hata akaenda kukaa.

Wakachukuliwa wakapelekwa Znz. Sasa kaka yake wa damu kabisa ndio akawa anatupa stori. Anasema nimekutana na fulani lakini kanikana kabisa anifahamu akawa analalamika kajisikia vbaya. Kaka yake akawa anasema alipta nafasi ya kuingia TISS.

ila huwa akirudigi kaka yake akimkumbusha lile tukio anakataa na anasema mimi sifanyi hiyo kazi nina mishe zangu tu nyingine. Ila kabadilika sana kuanzia kula, mikao , ongea kila kitu.
Ndio maana nimeshangaa jamaa anavyotoa siri kirahisi kwa rafiki yake huwa mara Nyingi tunahisi hisi
Kwani kuna ulazima wowote wa wao kuwa siri?mbona tunawaona kwenye misafara ya viongozi. Ila sababu sio ndugu yako hauwezi kumtambua..na anaweza akafanya siri kama ana mission ya siri.
 
Sasa kuna umuhimu gani wa kuwaita Secret service wangefanya kama Ffu au magereza basi. Wanaondoa maana
Hapana. Mimi naweza nikawa usalama. Ila sababu sina alama.hauwezi kunitambua.na wala sijakwambia.kamwe hauwezi kujua.huo ndo usiri wenyewe. Ila kama ni rafiki yako na mmeshibana au ndugu yako.unawea ukajua.sasa mtu anakaa pale magorofa ya makumbusho.utqsema huyo ni raia wa kawaida?
 
Kama ni hivyo basi ni mbinu za kijima sana
Hivi ulaya unafikiri unaweza kujua hata hiyo gari ni ya usalama?
Namba ni za kawaida ila akikuwashia au kuwasha taa zao ndio utajua, lakini wana magari ya kila aina kuanzia vw mpaka tesla na hata Subaru
Sasa private number au namba ngeni kwa macho ya watu si ndio kujionyesha tu huko?
 
Vijana mnapenda kuhoji sana. Kwa kifupi tu, hizo ni gari za Idarani (political desk) pale TISS.

UNAJUA, shida ya hii idara yetu inafanya mambo kizamani sana hadi inaleta taharuki. Juzi nikamuuliza mwanangu yuko huko, akanijibu eti sababu kubwa hakuna, kwamba eti wameamua kutumia number plate za yale magari ya zamani ya raia ambayo pengine kwa sasa hayatumiki!

Hii idara ina viongozi wa hovyo sana.
Huyo mwanao kakulisha tango mwitu.
 
Usalama wa Taifa zamani sio zama hizi.

Mimi nawajua 3. Mmoja yuko ubalozini nje ya nchi kwa contract ya miaka kadhaa, wawili wako hapa nyumbani. Yani tunapiga stori nyingi sana mkuu, ni vile nimetoka nao mbali.

Niliwahi kukamatwa barabara ya Sam Nujoma nikiwa tungi asubuhi, nikamtukana traffic, wakanipeleka kituoni, nikampigia huyo jamaa, aisee mkuu wa kituo ndio akaja kunitoa, nakumbuka aliniuliza, vipi hawajakuumiza? [emoji28]

Kama haitoshi akanipeleka police mess nikanywa na supu kwa bill ya OCS [emoji1]
Mh
 
Usalama wa Taifa zamani sio zama hizi.

Mimi nawajua 3. Mmoja yuko ubalozini nje ya nchi kwa contract ya miaka kadhaa, wawili wako hapa nyumbani. Yani tunapiga stori nyingi sana mkuu, ni vile nimetoka nao mbali.

Niliwahi kukamatwa barabara ya Sam Nujoma nikiwa tungi asubuhi, nikamtukana traffic, wakanipeleka kituoni, nikampigia huyo jamaa, aisee mkuu wa kituo ndio akaja kunitoa, nakumbuka aliniuliza, vipi hawajakuumiza? [emoji28]

Kama haitoshi akanipeleka police mess nikanywa na supu kwa bill ya OCS [emoji1]
Sawa mkuu elewa u manage to got away with murder,don't drink and drive,pia hili sio la kujisifia mkuu,elewa wewe nawe ni tatizo,lini tutaishi kwa mujibu wa kisheria?,mkuu nilifanya kazi pale white sands hotel kipindi ambacho mkuu wa TISS alikua yule waliyemuua pale Moshi eti ni jambazi,watoto wa mheshimiwa yule walikua down to earth ingawa walitoka kwenye very powerful family,mheshimiwa mwenyewe alikua super ingawa alikua na uwezo wa kukupoteza hapa duniani,ulitakiwa upelekwe mahakamani
 
Sasa kuna siri gani kama Yeye anakuambia?
Unajua kuna askari mmoja alikuwa na mtoti wake wakike akawa ameenda mafunzo wakakaa uko baadae wakaambiwa hakuna kazi hivyo wanaohitaji kubaki waendelee kujitolea ila kama uwezi nenda. Yule dada akaona kurudi hata akaenda kukaa.

Wakachukuliwa wakapelekwa Znz. Sasa kaka yake wa damu kabisa ndio akawa anatupa stori. Anasema nimekutana na fulani lakini kanikana kabisa anifahamu akawa analalamika kajisikia vbaya. Kaka yake akawa anasema alipta nafasi ya kuingia TISS.

ila huwa akirudigi kaka yake akimkumbusha lile tukio anakataa na anasema mimi sifanyi hiyo kazi nina mishe zangu tu nyingine. Ila kabadilika sana kuanzia kula, mikao , ongea kila kitu.
Ndio maana nimeshangaa jamaa anavyotoa siri kirahisi kwa rafiki yake huwa mara Nyingi tunahisi hisi
Kazi ina kiapo.
Kama unaaapa kumpoteza mzazi wako kama akiwa hatari kwa kazi yako, ni rahisi kumpa rafiki confidential information? Ukiona wanatoa story ni matango mwitu tu hayana madhara wala ukweli.
 
Kazi ina kiapo.
Kama unaaapa kumpoteza mazazi wako kama akiwa hatari kwa kazi yako, ni rahisi kumpa rafiki confidential information? Ukiona wanatoa story ni matango mwitu tu hayana madhara wala ukweli.
yaani mimi mwenyewe nashangaa sasa huo u secret service unatoka wapi? Sababu hwavai unifrom au n vp? Sema mwisho wasiku kila mtu anaweza akaleta storii yake kuchangamsha genge.
 
Kama ni hivyo basi ni mbinu za kijima sana
Hivi ulaya unafikiri unaweza kujua hata hiyo gari ni ya usalama?
Namba ni za kawaida ila akikuwashia au kuwasha taa zao ndio utajua, lakini wana magari ya kila aina kunzia vw mpaka tesla na hata subari
Sasa private number au namba ngeni kwa macho ya watu si ndio kujionyesha tu huko?
Wenye kutumia namba feki hapa bongo ni polisi. Kikosi maalum.

Gari rasmi za kiofisi za TISS zina namba og
Gari za matukio ndio hupewa namba feki
 
Ujinga wa nchi yetu, polisi hatakiwi kuogopa kuwashika. Awashike wajieleze kuwa wao ni Tiss.

Ila kuna hii ya kufanya update ya toyota LC nayo unaweza shtuka hii namba A ukichukua kadi gari ya zamani bodi mpya.
 
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.

Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.

Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Acheni kilakitu kuwasingizia UT, mnaweza mkawa mnashindwa kufichua uhalifu kisa neno Usalama wa Taifa limewajaa vichwani na mdomoni.
 
Back
Top Bottom