Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

[emoji28][emoji28]jana somewhere nme ona lexux LX 600 plate no A nika baki kuwaza hii chuma ime kuaje tena
Wengine Wana magari mengi nyumbani .Mtu unskuta ana magari 10 aina tofauti aweza ingia na hili akatoka na hili au lingine anatumia mara chache tu special occasion sio ajabu kukuta gari jipya lenye plate number inaanzia na A sababu halitumiki sana.Lakini.pia beware Kuna wTubhayo magari hiyafanyia tefubrication na kupaka rangi mpya baada ya muda Fulani linatoka gereji kama jipya Kabisa .ukikutana nalo.barabarani waweza Dhani jipya Wenginhuyarudisha upya sababu ni magari vigumu mno kuyauza ukilichoka.Kupata mnunuzi vigumu ndio wengine hulifanyia hivyo lionekane kama jipya liuzike
 
Mara nyingi ukiona namba kama hizo huwa ipo OFF DUTY ktk majukumu yake ya kawaida yaliyokusudiwa.

Huwez kupak STL ktk BAR for 3 hrs.. ila ukibadir kwenda ABS mfn unawez paki hapo hata wiki nzima na hakuna wa kushangaa.


Mbili, kuna sehem ili utoe taharuk lazim uende na namba za kiraia..

Mwisho kabisa namba za Idarani nyingi ni B__ na C__ chache sana kukuta ni A__
 
Kula chuma icho
Screenshot_20240510_110915_Facebook.jpg
 
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.

Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.

Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Hide ID...achans nayooo....utaishaa
 
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.

Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.

Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Ni kweli yanajulikana hivyo kuwa ni ya TISS.kwa sababu hata mwenye asiye na akili anajua Series ya Namba A ni magari yenye model zipi hasa. Nadhani ushauri wangu wangetumia namba latest kwa magari latest
 
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.

Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.

Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Kwani wewe umeingia Mjini lini?
 
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.

Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.

Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Nilijua nihuku kwetu tu yapo
 
Back
Top Bottom