Haya maisha yanapotea kwa kasi. Kuna wakati yatabaki kwenye vitabu vya simulizi tuu

Maisha ya kijijini.. Mandhari za kuvutia sana.. Changamoto kiduchu.. Wote mnafamiana.. Hakuna gesti za wageni au ni chache na hizo chache hazina shorttime na hazina vibao vya vyumba vimejaaπŸ˜€
Marangu kabisa hii, ukija mgeni unajulikana, ugomvi hakuna mnaheshimiana
 
Huwa nashangaa jamaa anapita anakuta mnafanya kazi fulani nae anapita anajiunga na nyinyi anapiga baadae ndo anasepa
 
Maisha ya kijijini.. Mandhari za kuvutia sana.. Changamoto kiduchu.. Wote mnafamiana.. Hakuna gesti za wageni au ni chache na hizo chache hazina shorttime na hazina vibao vya vyumba vimejaaπŸ˜€
mfano mubashara ccm kukimbia na boksi wapigia kula huku polisi anasindikiza.
mfano mwengine wasiojulikana kuwa cheo mpaka sasa wanatajwa na wanazidi kupewa fursa.
 
Maisha ya kijijini.. Mandhari za kuvutia sana.. Changamoto kiduchu.. Wote mnafamiana.. Hakuna gesti za wageni au ni chache na hizo chache hazina shorttime na hazina vibao vya vyumba vimejaaπŸ˜€
Kapicha ka kusukumia habari nzuri kama hiyo, huna, kikore?
 
mfano mubashara ccm kukimbia na boksi wapigia kula huku polisi anasindikiza.
mfano mwengine wasiojulikana kuwa cheo mpaka sasa wanatajwa na wanazidi kupewa fursa.
😭😭😭😭😭
 
Madogo under 7 wanapiga kazi kiroho safi kabisa
 
Ukisikia mtu anakwambia nilikuwa na rafiki yangu wa utotoni.. Hawa ndio wale marafiki wa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…