Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #61
Dah haya maji ya mtungi acha labisa.. Siri yake aijuaye kata๐๐View attachment 3262960
Fridge zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah haya maji ya mtungi acha labisa.. Siri yake aijuaye kata๐๐View attachment 3262960
Fridge zetu
HahahahaView attachment 3262963
We jichanganye na kandambili zako za umoja, sijui Bora sijui bata. Unakuta watu tushachonga matairi
Hata Dar es salaam nakumbuka mwaka 1980 ilikuwa ukienda mjini unakutana na watu karibu wote unawajua.
Huyu unasoma naye shule. Huyu unaenda naye kanisani. Huyu umecheza naye mpira.
Wachache sana wanakuwa watu huwajui kabisa.
Leo vurugumechi hata nani mkazi nani mpazi hujui.
maisha ya namna hii bora yabaki tu kwenye historiaNatural cement na hakuna fundi wa kukupiga hela huku
View attachment 3262865
Hii ukienda nalo dukani lazma differential izingue, ikizingua ina maana unalitengeneza hapo kuchelewa kurudi, kuchelewa kwako kurudi mpaka kuni zimeisha wakisubiri unga kipigo chake mnakijua ๐ ๐View attachment 3262963
We jichanganye na kandambili zako za umoja, sijui Bora sijui bata. Unakuta watu tushachonga matairi
uzuri wake unatokana na memories tuu lakini imagine kuchunga kulima na ngombe kukata kuni vs saivi kulima na tractor kupikia gas umeme nkKwanini๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ๐ค
Mshana Jr hivi vitu huwa unatoa wap ๐KilaView attachment 3262873 mmoja ana majukumu yake. Hakuna mikokoteni ya kuuza maji huku
Singida hiiPaja sio baya sana ๐๐๐