Edsheraan
JF-Expert Member
- Oct 22, 2024
- 659
- 1,126
Mengi mnawasingizia nyinyi humu hakuna kabila mnalosema et ni wema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi mnawasingizia nyinyi humu hakuna kabila mnalosema et ni wema
😆😆😆Mwanamke wa kijita/kikerewe mkikosana ndani yeye anatoka nje kurusha mawe na matusi. 😂😂
Takwimu za kuthibitisha hili dai lako ziko wapi?
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
Mmekutana na watutsi waliolowea kigoma nyie sio waha
Lugha za makisirani hizi, kalichezea kabila lako wewe.M
Mbona mi naishi nao huku wako poa2 au walikugongea mkeo
Ulioa mrundi wewe sio muha
Sasa kama mnataja wote wa kusini, magharibi, kaskazini na kanda ya kati sasa huwa mnaoa kutoka wapi? Au mnaoa wakenya?Wajita, wahaya, waha, wahangaza na kabila Moja ipo Rukwa nimeisahau, ni makabila ya ajabu sana
Umewasingizia nakazia
Nakazia🙁Takwimu za kuthibitisha hili dai lako ziko wapi?
Hapa unachochea ukabila tu.
We jamaa mbona povu Kuna niniLugha za makisirani hizi, kalichezea kabila lako wewe.
Mama mkwe anamwambia binti yake alieko kwny ndoa almost 3 years, 'bora angeolewa na mchaga mwenzie kuliko kabila alilochagua'. Kisa jmaaa mambo magumu anapambana ingawa kipindi cha nyuma mambo yalikua mazuri. Sahivi apeche alolo hta wakwe hawamtaki jamaa.........hizi stori sikia tu kwa watu yasikukute
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
Kalale madogoMmekutana na watutsi waliolowea kigoma nyie sio waha
Dah!Mama mkwe anamwambia binti yake alieko kwny ndoa almost 3 years, 'bora angeolewa na mchaga mwenzie kuliko kabila alilochagua'. Kisa jmaaa mambo magumu anapambana ingawa kipindi cha nyuma mambo yalikua mazuri. Sahivi apeche alolo hta wakwe hawamtaki jamaa.........hizi stori sikia tu kwa watu yasikukute
Wasukuma wa mjini mbona wapo wengiPiga ua huwezi kuta Wasukuma,
Hio yote ni sababu ya uvumilivu + uchawi...
Comment yangu isiguswe, serikali inipe ulinzi.
Kwasababu ulipoambiwa anaujauzito ukala kona. Ulitaka aitoe?
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
Wala MuhaPiga ua huwezi kuta Wasukuma,
Hio yote ni sababu ya uvumilivu + uchawi...
Comment yangu isiguswe, serikali inipe ulinzi.
Ongeza na wakonongo wa kataviKabila lingine wagogo, aisee nenda vijiji vya Dom kila dem kazaa ila yupo tu anadunda mtaani hana hili wala lile