Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shemeji yangu alioa huyo mke kutoka mbeya.Wanyakyusa vepe
Mwanangu hujaongopa 1.,2 Na 6 hii nimeshuhudia kabsa no. 4 nilikua nae demu Nikampga chini
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
Mtani wa mtani wako ni mtani, sawa mtani tuko pamoja kawasingizia pakubwa watani wetu hawaWaha watani zangu hapo amewapakazia.....wana madhaifu mengine lakini wanatoa Version bora kabisa kwa wanawake wa kuoa.
Hivi dem wa kiha anajua kukata kiuno kweli!?M
Mbona mi naishi nao huku wako poa2 au walikugongea mkeo
Kuwa na adabu we kinuka mkojoKalale madogo
Nilijichanganya kwa mjita Woking!Hakuna wake hapo chapa ilale
Mbuyaa weito!Amangana mura weito
Hawawezi kuwakimbiza hao tajwaWahehe umewaacha wapi
Ukiona unamuelezea sana ex namna hii ujue bado unampenda, umemmiss, unamuhitaji ila ni kwamba huna pa kumpatia kakuzidi parefu na wife wako hamfikii ex ukweli unaujua ila ndo utafanyaje lazima ujifariji,namba 02.mbili MROMBO alinishinda kwa kitu kidogo sana DHARAU ikiambatana na ujeuri,kiburi na kama majivuno/kujikuta ..ila zaidi dharau ndio iliyonifanya nishindwane naye.
Nashukuru tuliachana mapema mana stress zingenitesa kama ningemngangania.
KONGOLE KWA WAHEHE IRINGA
Iringa imenipatia super woman,wife material,mke mwema sana .Namshukuru Mungu kwa kunipatia mke mwema.Nina amani ya ndoa.
yule mrombo ile jeuri yake na dharau,pasipo huyu my wife wangu wa iringa,ungekuta na mimi pengine ningekuwa (KATAA NDOA).
Sijawahi kata Mimba wala kukazaa kwa bahati mbayaKwasababu ulipoambiwa anaujauzito ukala kona. Ulitaka aitoe?
Ijaano mwana weshwe 😀😀😀Siga okwamba ntegelesye amasango ge chimumu ku Chalo kunu!
Hakuna "single mma" duniani.
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
Ninaye hapa pembeni yangu kalala kwa utulivu, hana makuu kabisaUkipata mjaluo, oa haraka.
Hongera sana mkuu.Ninaye hapa pembeni yangu kalala kwa utulivu, hana makuu kabisa