Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Bado watu mnajadili makabila?

Wangekuwa vipi single mothers kama wanaume wasingekimbia majukumu yako?

Ujinga bado ni janga la taifa.
 
Tunatishana Bure Ndugu Zangu Oeni Elimu Ni Bure Tu
Muda Huu Natoka Shanti Town Mpaka Boma Halafu West Huku Ndani Namwai Sijaona Tatizo Mpaka Leo
Mengine Tunatishana


Rau, KCMC, Ushirika, Mwenge Catholic University, Mweka
20241022_145610.jpg
 
Wajita nina kubali 100%, nina experience nao,wakisha pata kidogo wanaona its ok mazarau kibao
Kuna demu wa kanda hio ya Mara ni mteja wangu. Ana mtoto mmoja ila sasa aliachwaga na huyo mwamba kwahio ni single maza. Ila kwa sasa ana hasira sana hataki kuambiwa habari za kupigwa miti😁 yani ana visasi balaa. Kwa style yake bora awe single tu ukioa nahisi kuna kupasuana nakoz mjengoni
 
Back
Top Bottom