Tutabanana kindakindaki hadi kielewekeKiufupi nchi nzima haina wife material fanyeni kuimport tu🤣🤣 tuliopo ndo sisi sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutabanana kindakindaki hadi kielewekeKiufupi nchi nzima haina wife material fanyeni kuimport tu🤣🤣 tuliopo ndo sisi sisi
Mkuu nina mashaka ni kwamba hauna uhakika ndio maana unashindwa hata kuelezea ulichoulizwa☝🏾Ni kama hawa
Wewe unajuaWahehe umewaacha wapi
Watoto haram wakoje? Na je ukioa mwanamke asie bikra nae sio haram?Hakuna "single mma" duniani.
Sema ukweli tu, wanaongoza na kuwa na watotowa haramu. Hawana maadili na wala hawajafundishwa maadili.
Haa HQ HapoMakao makuu ya single mazas ni veyula dodoma.
na watoto ukawaacha waende na mam yao?Mke wangu ni muha nakubaliana na hili maana na yeye hadi familia yao wana tabia hizi hadi nimeamua kumpiga chini
Shuhuda ZinaendeleaMwanangu hujaongopa 1.,2 Na 6 hii nimeshuhudia kabsa no. 4 nilikua nae demu Nikampga chini
Waliopatikana nje ya ndoa.Watoto haram wakoje? Na je ukioa mwanamke asie bikra nae sio haram?
Wamepungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu ZanguKarne ya 21 bado mnazungumzia ukabila
Na vipi kuhusu mwanamke alietolewa bikra kabla ya kuolewa?Waliopatikana nje ya ndoa.
Na vipi kuhusu mwanamke alietolewa bikra kabla ya kuolewa
Na vipi kuhusu mwanamke alietolewa bikra kabla ya kuolewa?
Wahehe hapana , ni wake wazuri sana sana na wana uvumilivu hilo ni ni kabila la kuoa kabisa hiloWahehe umewaacha wapi
Nakuomba wewe unijibuSoma vitabu vyako vya dini.
Sijuwi jibu lake.Nakuomba wewe unijibu
Kuna demu wa kanda hio ya Mara ni mteja wangu. Ana mtoto mmoja ila sasa aliachwaga na huyo mwamba kwahio ni single maza. Ila kwa sasa ana hasira sana hataki kuambiwa habari za kupigwa miti😁 yani ana visasi balaa. Kwa style yake bora awe single tu ukioa nahisi kuna kupasuana nakoz mjengoniWajita nina kubali 100%, nina experience nao,wakisha pata kidogo wanaona its ok mazarau kibao