Tafuta pesa acha uboya! Wee waza ngono wakati wenzako wanatengeneza chambi chambikuna ukweli wowote kwenye hili ndugu, jamaa na marafiki zangu?
lalamiko hili linasambaa kwa kasi sana aise...
nini kifanyike kuzima uvumi huu wa kufedhehesha sasa, tusaidiane tafadhali...
zaidi sana,
tujitahidi kula vyakula mchanganyiko vya kutosha, kushiriki mazoezi mara kwa mara ili kuweka utimamu wa mwili safi na sawa, lakini pia ili kua na stamina katika kustahimili game ipasavyo na tena bila kuchoka halafu ni zaidi ya hizo raundi tatu zinazolalamikiwa..
usisahau kula matunda, kunywa maziwa fresh na maji ya kutosha kuimarisha afya yako π
nini maoni yako
Msigwa anadai tatizo ni Mbowe ndiye anayesababisha haya yoteKuna ukweli wowote kwenye hili ndugu, jamaa na marafiki zangu? Lalamiko hili linasambaa kwa kasi sana aise...
Nini kifanyike kuzima uvumi huu wa kufedhehesha sasa, tusaidiane tafadhali...
Zaidi sana,
tujitahidi kula vyakula mchanganyiko vya kutosha, kushiriki mazoezi mara kwa mara ili kuweka utimamu wa mwili safi na sawa, lakini pia ili kuwa na stamina katika kustahimili game ipasavyo na tena bila kuchoka halafu ni zaidi ya hizo raundi tatu zinazolalamikiwa..
Usisahau kula matunda, kunywa maziwa fresh na maji ya kutosha mara kwa kuimarisha afya yako π
Nini maoni yako
malipo ni hapa hapa duniani sio? mmedhulumiwa sana kwa muda marefu, eti?π€£Msimamo ni hakuna kurudia, km na yy anataka aridhike basi atoe hela. Haiwezekani nimtongoze, nimtumie nauli, nimlishe, nimnyweshe nilipe Lodge, nimuachie kifuta Jasho afu nipambane kumridhisha yy tu..
unanifokea mimi au wadau wanaume wachangiaji hoja hii mahususi mezani?Tafuta pesa acha uboya! Wee waza ngono wakati wenzako wanatengeneza chambi chambi
Nadhani aliyetunga ya chai na chapati mbili.. kama sijakosea.kwani Sheria ya bao tatu nani aliitunga??
Wewe ndie unayetaka kuwa supika huko mbeleni!?πKuna ukweli wowote kwenye hili ndugu, jamaa na marafiki zangu? Lalamiko hili linasambaa kwa kasi sana aise...
Nini kifanyike kuzima uvumi huu wa kufedhehesha sasa, tusaidiane tafadhali...
Zaidi sana,
tujitahidi kula vyakula mchanganyiko vya kutosha, kushiriki mazoezi mara kwa mara ili kuweka utimamu wa mwili safi na sawa, lakini pia ili kuwa na stamina katika kustahimili game ipasavyo na tena bila kuchoka halafu ni zaidi ya hizo raundi tatu zinazolalamikiwa..
Usisahau kula matunda, kunywa maziwa fresh na maji ya kutosha mara kwa kuimarisha afya yako π
Nini maoni yako
Wewe ndie unayetaka kuwa supika huko mbeleni!?πKuna ukweli wowote kwenye hili ndugu, jamaa na marafiki zangu? Lalamiko hili linasambaa kwa kasi sana aise...
Nini kifanyike kuzima uvumi huu wa kufedhehesha sasa, tusaidiane tafadhali...
Zaidi sana,
tujitahidi kula vyakula mchanganyiko vya kutosha, kushiriki mazoezi mara kwa mara ili kuweka utimamu wa mwili safi na sawa, lakini pia ili kuwa na stamina katika kustahimili game ipasavyo na tena bila kuchoka halafu ni zaidi ya hizo raundi tatu zinazolalamikiwa..
Usisahau kula matunda, kunywa maziwa fresh na maji ya kutosha mara kwa kuimarisha afya yako π
Nini maoni yako
bao tatu kwa maisha ya sasa inabidi uwekeze kwenye vitu vingi sana, kuazia afya ya akili, lishe unayokula,usiwe na hofu na shaka na uyo mtu unapiga, mambo yako yanaenda hasa ya kiuchumi,,hapa nafumua mtoto wa ntu hata 10mazoea yana tabu sana gentleman, acha tu π
hakika mkuu ni yeyeeeNadhani aliyetunga ya chai na chapati mbili.. kama sijakosea.
Wewe ndie unayetaka kuwa supika huko mbeleni!?π